Dodoma,makao makuu yasiyo na ukuu
Sauti za watu zimeendelea kupazwa juu ya heshima ya mji wa Dodoma, kwa namna unavyokosa heshima na mvuto kama sehemu ya makao makuu, lakini wahusika wameendelea kuweka pamba masikioni na haijulikana kama wanahitaji kupigiwa ngoma ndipo wasikie au la.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
RC alilia makao makuu yahamie Dodoma
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA.
WAUMINI na viongozi wa dini mkoani hapa, wameombwa kuomba dua maalum ili azma ya serikali ya kuhamishia makao makuu Dodoma itimie.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi, alipokuwa akitoa salamu za mkoa kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa wanawake (UWT).
Mkuu huyo wa mkoa alisema ni vyema sasa kukawa na dua maalumu la kuombea uhamisho wa makao makuu kuwa Dodoma, kwani umekuwa wa muda mrefu sasa.
Alisema azma hiyo ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FLRhqMgc44c/U6Kv3raXufI/AAAAAAAFroE/tGvueiUYwO4/s72-c/unnamed+(4).jpg)
JK apokea ripoti ya Uendelezaji Makao Makuu Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-FLRhqMgc44c/U6Kv3raXufI/AAAAAAAFroE/tGvueiUYwO4/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Habarileo03 Feb
Serikali yahimizwa kuhamishia makao makuu Dodoma
SERIKALI imesisitiza agizo lake la kusitisha ujenzi wa ofisi za wizara na taasisi zake katika jiji la Dar es Salaam badala yake uelekezwe mjini Dodoma, ikiwa ni hatua ya kuhamishia makao makuu mjini hapa.
5 years ago
Michuzi26 Feb
Jenerali Mabeyo Azindua Makao Makuu ya JKT Chamwino Dodoma
![](http://blog.maelezo.go.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-2-1-1024x683.jpg)
Na Frank MvungiMkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Venance Mabeyo amezindua Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma.Akizungumza leo Februari 26, 2020 wakati akizundua makao makuu hayo Jenerali Mabeyo amesema kuwa, JKT imekuwa yakupigiwa mfano kwa utendaji unaotokana...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi atembelea makao makuu ya CCM mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s640/8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNFaFmxTV_I/VVsuggMd1vI/AAAAAAAAb6k/qP0CMrNjNbk/s640/10.jpg)
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZpLt0JD2SfY/VVsuij09KpI/AAAAAAAAb6s/GwhDJu7CSmU/s640/11.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 May
Aanze rais kuhamia Makao Makuu Dodoma, wengine watafuata
10 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAPIGA KAMBI NDANI YA CCM MAKAO MAKUU, DODOMA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s72-c/8.jpg)
RAIS FILIPE NYUSI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CCM MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s640/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNFaFmxTV_I/VVsuggMd1vI/AAAAAAAAb6k/qP0CMrNjNbk/s640/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZpLt0JD2SfY/VVsuij09KpI/AAAAAAAAb6s/GwhDJu7CSmU/s640/11.jpg)
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KUANZA KUTUMIA JENGO LA MAKAO MAKUU DODOMA MWISHO WA MWEZI