JESHI LA POLISI KUANZA KUTUMIA JENGO LA MAKAO MAKUU DODOMA MWISHO WA MWEZI
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, ametembelea na kukagua maendeleo na marekebisho ya jengo ambalo lilikabidhiwa kwa Jeshi la Polisi na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli,.Katika ukaguzi huo, IGP Sirro, ameelekeza kukamilishwa kwa ghorofa ya pili na ya tatu ambayo inakisiwa kugharimu kati ya shilingi milioni 150 hadi milioni 200 tayari kwa matumizi ya maafisa na askari ambao wanatarajiwa kuwasili jijini Dodoma mwishoni mwa mwezi huu. IGP Sirro...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Jengo la Polisi Makao Makuu Dar, Lanusurika Kuwaka Moto
Jengo la Ghorofa ya 4 la Jeshi la Polisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam leo limenusurika kuwaka moto baada ya kutokea cheche za umeme ndani ya jengo hilo na kusababisha taharuki kabla ya Kikosi cha Zimamoto kufanikiwa kuudhiti.
Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia taarifa zetu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
IGP MANGU AKAGUA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA POLISI MKOA WA MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UR34H7M1PGw/VcMcVB-hOsI/AAAAAAAHueo/c8FPMy7ZUWs/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6rnElGx5ZY/VcMcVPmtlRI/AAAAAAAHuek/rB-a2dllSGs/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU KAILIMA AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UHAMIAJI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gtoA1qqpvr0/Xl-x1LsgIBI/AAAAAAALg_4/mUGygevraUAs_Y6K8UAyDYDbmyiiBW6gACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s72-c/IMG_9743.jpg)
FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s1600/IMG_9743.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9rVtYB6wVNA/XnDBPgLCEAI/AAAAAAAC1Hw/5Z0GsT0z9rMA6bYzgHoGn-HoVXcO4dgHQCLcBGAsYHQ/s72-c/78e46699bdd17a7a394badc02f2b2a58_400x400-400x400.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s72-c/IMG_9743.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA,FREEMAN MBOWE AFIKA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI KWA MAHOJIANO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1d2QWTP5sk/VBrIBBUlAHI/AAAAAAAGkQU/wCiGoioDz2M/s1600/IMG_9743.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bBI483X57FE/VBrFvS5T5YI/AAAAAAAGkO4/T7SK0Lu5RDI/s1600/DSCF9030.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.-2048x1365.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KM 51.2 MJI WA SERIKALI PAMOJA NA KUFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA OFISI ZA TARURA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-na2TtjOJRZI/XuJC3J-jCfI/AAAAAAALtb8/cM__1C5GO04wMnjDyvUq1LSoPSDNF7pJwCLcBGAsYHQ/s640/1.-2048x1365.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff kuhusu mradi wa ujenzi wa Barabara za lami zenye jumla ya km 51.2 katika mji wa Serikali (Mtumba) mkoani Dodoma leo tarehe 11 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-10-scaled.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/17.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KATIKA MJI WA SERIKALI, AFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA NA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s400/17.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xc3EVu2CGYA/XuJIGBt2I7I/AAAAAAACM_c/1x-hs6N1qo4gRBesWgrbpfIWOXIGY9ByQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q5Ku3cvHD0o/XuJIRwvhcBI/AAAAAAACM_g/kDyLp-KiGiU0Gzwd705Qca6UdKcdHcahwCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U3-JuBTwVs0/XsPJAA6lcbI/AAAAAAALqwg/oVWltk_-utIqyt6DTMTEuWgfM7VmAcu6wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-2-2048x1365.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AKUTANA NA MAAFISA WAANDAMIZI WA MAGEREZA WALIOHAMISHIWA MAKAO MAKUU YA JESHI HILO DODOMA HIVI KARIBUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-U3-JuBTwVs0/XsPJAA6lcbI/AAAAAAALqwg/oVWltk_-utIqyt6DTMTEuWgfM7VmAcu6wCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-2-2048x1365.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akizungumza katika kikao kazi na Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza ambao wamehamishiwa hivi karibuni Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, jijini Dodoma. Kikao hicho kimefanyika leo Mei 19, 2020 kwa lengo la kupeana mikakati mbalimbali ya kazi sambamba na maelekezo ya utekelezaji wa mageuzi yanaendelea...