SHILOLE ATIA AIBU MSIBA WA KOMBA
![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PL6sx56p4-T0klZNAc0imcQ-Vdn*O0RoZ6zQW2d53BXgmIT2fcU6SzeoxhA1TL1J-a2Viid6fm18TfUZpgXbabw/SHILOLE.jpg)
IMELDA MTEMA/Amani MWANAMUZIKI wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amepondwa vibaya katika msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Mhe. Kapt. John Komba, baada ya kuvaa kigauni kilichombana na kumuonyesha maungo yake ya mwili mbele ya viongozi mbalimbali wa Serikali akiwepo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Mwanamuziki wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohamed...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQiEB6*6GDC1cbTQTCsIafZakVs78I3v0abhkUpAYfVWaT3kSwy1Uk6ew-iasv43egMyqgvg0gtfKdQuVLhJtp6/2.jpg?width=650)
BETHIDEI YA MTOTO WA DAVINA NISHA ATIA AIBU
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Shilole afanya pati ya aibu!
AMA kweli mapenzi yana sarakasi! Ndiyo kauli inayoweza kukuponyoka kufuatia tukio la staa anayebeba dhamana mbili katika sanaa ya Bongo, akitambulika kwenye uigizaji na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ambaye ameangusha bonge la pati ya aibu iliyojaa minong’ono kuwa ni sehemu ya furaha yake isiyo kifani ya kuachana na aliyekuwa mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Amani lina kila kitu.
TUJIUNGE NYUMBANI KWA SHILOLE
Tukio hilo la aina yake lililohudhuriwa na baadhi ya mastaa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKitMIZupsxcpzpwPNPKf-pDmrb-cXX-DFg-JtYWv-IUxl-*MaAyf15QB3GKGURLbJXxLuzlLv1GR2HgFUiQaB3/GFGFFG.jpg)
SHILOLE AACHA AIBU ULAYA!
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Wagombea urais wagongana msiba wa Komba
10 years ago
Mwananchi01 Mar
Msiba wa Kapt Komba: Bunge lasema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytpAy2-Xh64sPjnXd9bNSRTjT1zdm86M0inbAIvYPxQzM34BNiAHe1I6yol7k3hzLGmq2n12b42vnGRLgAPjSFtQ/rr.jpg?width=650)
NAPE, NISHA KIVUTIO MSIBA WA KAPT. KOMBA
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA
Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.
Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena CloudsFM, alianza kuzungumzia namna alivyopokea taarifa za msiba huo; “..Mtu akishatoweka kwenye ulimwengu akifariki dunia inauma kwa sababu mtu unayempoteza leo huwezi kumpata tena.. lakini ukimpoteza mbuzi utaenda...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s72-c/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
VIONGOZI MBALIMBALI WAMIMINIKA KUHANI MSIBA WA KAPTEN KOMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s1600/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XysoJI66Ymw/VPLwTGB4ffI/AAAAAAAAXSA/2oVW5SfRZ3U/s1600/013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNP-q10IRVI/VPLwY-_uXrI/AAAAAAAAXSQ/hwYILOanKhM/s1600/014.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R7vQKs75sho/VPLwT4Y8ciI/AAAAAAAAXSI/5fIW_BA3YRM/s1600/012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-81v5-TTZtVo/VPLwbDEdPXI/AAAAAAAAXSY/TlTsRdMTozY/s1600/018.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s72-c/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
DR WILBROAD SLAA AHUDHURIA MSIBA WA CAPTAIN JOHN KOMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s1600/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)