Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE ATIA AIBU MSIBA WA KOMBA

IMELDA MTEMA/Amani MWANAMUZIKI wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amepondwa vibaya katika msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Mhe. Kapt. John Komba, baada ya kuvaa kigauni kilichombana na kumuonyesha maungo yake ya mwili mbele ya viongozi mbalimbali wa Serikali akiwepo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Mwanamuziki wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohamed...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA MTOTO WA DAVINA NISHA ATIA AIBU

Gladness Mallya na Imelda Mtema
POMBE si chai! Msemo huu ulitimia hivi karibuni baada ya staa wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ kuzidiwa na kilevi na kuanza kushindana kukata mauno na kusababisha azingirwe na wanaume waliovutiwa naye. Staa wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ akikata mauno. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumatano iliyopita katika sherehe ya bethidei ya mtoto wa msanii...

 

9 years ago

Global Publishers

Shilole afanya pati ya aibu!

AMA kweli mapenzi yana sarakasi! Ndiyo kauli inayoweza kukuponyoka kufuatia tukio la staa anayebeba dhamana mbili katika sanaa ya Bongo, akitambulika kwenye uigizaji na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ambaye ameangusha bonge la pati ya aibu iliyojaa minong’ono kuwa ni sehemu ya furaha yake isiyo kifani ya kuachana na aliyekuwa mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Amani lina kila kitu.

TUJIUNGE NYUMBANI KWA SHILOLE
Tukio hilo la aina yake lililohudhuriwa na baadhi ya mastaa...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE AACHA AIBU ULAYA!

Erick Evarist
STAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameacha aibu ya aina yake barani Ulaya baada ya gauni lake kuvuka na kuacha ‘nido’ zake hadharani, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiimba kwa hisia. Tukio hilo lililozua gumzo katika mitandao mbalimbali ya kijamii, lilijiri usiku wa kuamkia Jumatatu iliyopita katika Jiji la...

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wagongana msiba wa Komba

Msiba wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba jana uligeuka uwanja wa siasa, baada ya makada wa CCM wanaotajwa kugombea urais pamoja na wapambe wao kupigana vikumbo na kurushiana vijembe, ikiwa na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mwananchi

Msiba wa Kapt Komba: Bunge lasema

>Mbunge wa Mbinga Magharibi na mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji la CCM, Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni mstaafu John Komba (61), amefariki dunia jana.

 

10 years ago

GPL

NAPE, NISHA KIVUTIO MSIBA WA KAPT. KOMBA

Na Hamida Hassan: Umahiri wa hali ya juu wa uimbaji ulioneshwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na msanii wa filamu Salma Jabu ‘Nisha’ juzikati walikuwa kivutio kwa waombolezaji waliokuwa katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar ambako mwili wa marehemu Kapteni John Komba ulikuwa ukiagwa. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye (katikati) akiimba wimbo maalum na wasanii...

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA

Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.

Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena CloudsFM, alianza kuzungumzia namna alivyopokea taarifa za msiba huo; “..Mtu akishatoweka kwenye ulimwengu akifariki dunia inauma kwa sababu mtu unayempoteza leo huwezi kumpata tena.. lakini ukimpoteza mbuzi utaenda...

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI MBALIMBALI WAMIMINIKA KUHANI MSIBA WA KAPTEN KOMBA

 Waziri Mkuu Mstaafu,Mh Edward Lowasa akisaini kitabu cha maombolezo alipofika nyumban kwa Marehem Capt. J komba kuwapa pole wanafamilia na ndg Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Fredrick Sumaye akisaini kitabu cha maombolezo kwenye msiba wa Kapteni John Komba. Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Fredrick Sumaye akimpa pole mke wa marehemu Kapteni John Komba.

  Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Fredrick Sumaye akisalimiana na wasanii wa TOT wakati akiwasili msibani.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa  Nape Nnauye...

 

10 years ago

Vijimambo

DR WILBROAD SLAA AHUDHURIA MSIBA WA CAPTAIN JOHN KOMBA

Katibu mkuu wa CHADEMA DR Wilbroad Slaa akitia saini kitabu cha Wageni alipofika kuhudhuria msiba wa Kada Maaarufu wa CCM Ambaye Pia Mbunge wa Mbinga Magharibi Captain John Komba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani