Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shilole afanya pati ya aibu!

AMA kweli mapenzi yana sarakasi! Ndiyo kauli inayoweza kukuponyoka kufuatia tukio la staa anayebeba dhamana mbili katika sanaa ya Bongo, akitambulika kwenye uigizaji na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ambaye ameangusha bonge la pati ya aibu iliyojaa minong’ono kuwa ni sehemu ya furaha yake isiyo kifani ya kuachana na aliyekuwa mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Amani lina kila kitu.

TUJIUNGE NYUMBANI KWA SHILOLE
Tukio hilo la aina yake lililohudhuriwa na baadhi ya mastaa...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHILOLE AFANYA BONGE LA PATI

Keki maalumu kwa ajili ya Shilole. Shilole akijiandaa kukata keki pembeni ni Steve Nyerere.…

 

9 years ago

Global Publishers

Shilole angusha pati ya kufunga mwaka

 

IMG_8589Shilole (katikati) akiwa amezungukwa na baadhi ya marafiki zake.

IMG_8307Shilole akicheza muziki huku baunsa wake akimshuhudia.

IMG_8312Baadhi ya warembo waliohudhuria pati hiyo wakiwa wamepozi.

SHILOLE (3) SHILOLE (4)Sehemu ya  vinywaji  na vitoweo vilivyokuwa vimeandaliwa na Shilole kwa ajili ya kuhakikisha anatimiza azma yake ya kufurahia na kusherekea   siku chache za kufunga mwaka 2015 na baadhi ya wasanii na marafiki zake waliojitokeza mahali hapo,usiku wa kuamkia leo.

SHILOLE (5) SHILOLE (6)Waalikwa wakibadilishana mawazo kwa pozi tofauti.

SHILOLE (7)

 

11 years ago

GPL

DIAMOND AFANYA PATI YA UFUSKA!

Diamond Platnumz akimmwagia manoti Halima Kimwana. Stori: Hamida Hassan na Musa Mateja
KUFURU ya kufunga mwaka! Dogo anayejua kuzitumia vyema fursa muhimu, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ amefanya yake kwa mara nyingine, safari hii amefanya pati iliyojaa ufuska, Ijumaa linaibumburua. …

 

10 years ago

GPL

SHILOLE AACHA AIBU ULAYA!

Erick Evarist
STAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameacha aibu ya aina yake barani Ulaya baada ya gauni lake kuvuka na kuacha ‘nido’ zake hadharani, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili. Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiimba kwa hisia. Tukio hilo lililozua gumzo katika mitandao mbalimbali ya kijamii, lilijiri usiku wa kuamkia Jumatatu iliyopita katika Jiji la...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE ATIA AIBU MSIBA WA KOMBA

IMELDA MTEMA/Amani MWANAMUZIKI wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amepondwa vibaya katika msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Mhe. Kapt. John Komba, baada ya kuvaa kigauni kilichombana na kumuonyesha maungo yake ya mwili mbele ya viongozi mbalimbali wa Serikali akiwepo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Mwanamuziki wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohamed...

 

9 years ago

GPL

MUME WA MTU AFANYA MAMBO YA AIBU!

Richard Bukos Mwanaume mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja aliyedaiwa kuwa ni mume wa mtu, hivi karibuni alifanya mambo ya aibu ikiwemo kuvua nguo na kukata mauno mbele za wasichana. Baba huyo akisakata rumba. Tukio hilo lilijiri ndani ya Ukumbi wa Highway Night Park uliopo Ukonga jijini Dar wakati Bendi ya Mashujaa Musica ilipokuwa ikiporomosha burudani.Awali, mwanaume huyo ambaye ilidaiwa siku nyingine...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE AFANYA ‘UTUNDU’ STEJINI

Chande Abdallah
STAA wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Zuwena Mohamed 'Shilole' juzikati aliwatega vidume baada ya kufanya utundu wa aina yake kwa kuwaita jukwaani na kucheza nao wakati akipafomu kwenye shoo maalum ya Pasaka iliyodhaminiwa na Vodacom mwishoni mwa wiki. Mwanadada Shilole 'Shishi Baby' akionyesha mbwembwe zake stejini na mmoja wa mashabiki wake. Tukio hilo lilinaswa sawia na paparazi wetu maeneo ya Coco Beach...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu yetu, aibu yao...

Tambo, ngebe zilizotawala vinywa vya mashabiki, viongozi wa Yanga na, Simba zinafikia mwisho leo kwa pambano linalozikutanisha timu hizo mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani