Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aibu yetu, aibu yao...

Tambo, ngebe zilizotawala vinywa vya mashabiki, viongozi wa Yanga na, Simba zinafikia mwisho leo kwa pambano linalozikutanisha timu hizo mbili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

9 years ago

Habarileo

Nadir: Tungefungwa ingekuwa aibu yetu

NAHODHA wa mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amesema kama wasingeifunga Azam FC katika mchezo wa Ngao ya Jamii mwishoni mwa wiki, ingekuwa ni aibu kwao.

 

11 years ago

Mwananchi

Umaskini hohehahe aibu mbele ya macho yetu

  Tushukuru tumemaliza sherehe za Krismasi kwa salama, huku tukimuomba Mwenyezi Mungu atusambazie amani, neema na mafanikio katika maisha yetu mnamo mwaka huu mpya wa 2014.

 

11 years ago

GPL

WEMA, AUNT, KAJALA: AIBU YAO!

Stori: Imelda Mtema, Arusha
Jambo limezua jambo! Mastaa ‘hot’ Bongo wanaotingisha kwenye tasnia ya sinema, Kajala Masanja, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wamepata aibu baada ya kugandwa na skendo ya kwenda kujiuza jijini Arusha. Mastaa wa filamu kutoka kushoto ni Wema Sepetu, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja. Skendo hiyo ilikuja baada ya mastaa hao kutimba jijini humo ikiwa ni ziara ya kwenda kumtambulisha msanii wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aibu bungeni

UFUNDI wa matusi, vijembe na mipasho ndivyo vilivyotawala jana bungeni wakati wajumbe wa Bunge Maalumu wakijadili sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya katiba zinazozungumzia muundo wa Muungano,...

 

11 years ago

GPL

AIBU KUBWA!

Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima, Mwanza
NI aibu kubwa! Mpigachabo maarufu nchini, Andrea Masangu (29) amenaswa akiwa kwenye uvungu wa kitanda akiwapiga chabo wanandoa, Ijumaa Wikienda lina mkasa wote mkononi. Tukio hilo lilitokea Januari 10, mwaka huu, ndani ya Gesti ya Riverside, Stendi ya Nyegezi jijini hapa ambapo kijana huyo aliingia kwa kuruhusiwa na mhudumu wa gesti hiyo katika mtego makini uliotegwa na Oparesheni...

 

9 years ago

Global Publishers

Aibu ya Krismasi

IMG-20151222-WA0016Issa Mnally
AIBU ya mwaka! Mwalimu aliyefahamika kwa jina la Henry wa shule moja maarufu iliyopo Kimara jijini Dar, amenaswa na mkewe aitwaye Sesy akiwa na mke wa mtu chumbani, Ijumaa linakupa mchapo kamili.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni nyumbani kwa mwalimu huyo aishie Kimara-Temboni, majira ya saa sita usiku baada ya mkewe kutonywa na majirani kuwa mumewe alizama chumbani na mchepuko huo ambao nao una mume.

IMG-20151222-WA0005Kwa mujibu wa chanzo makini, siku ya tukio mke wa mwalimu huyo alikuwa...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA AIBU!

Mwandishi Wetu
HII ni simulizi ya aibu! Tukio la mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila jijini  Dar, Gaudensia Albert, mkazi wa Kisiwani Kata ya Sandali wilayani Temeke kuishi na vinyesi, mikojo na matapishi chumbani kwake, limeibua mshtuko na aibu ndani yake. Kinyesi kikiwa kwenye ndoo. Kwa mujibu wa mwenye nyumba, Reuben Shayo, mwalimu huyo anayefundisha masomo ya sayansi aligundulika hivi karibuni kuwa anaishi ndani...

 

10 years ago

GPL

DIDA AIBU ILIYOJE!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Weka mbali na watoto! Prizenta asiyekaukiwa matukio wa Kituo cha Redio Times FM cha Jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’ anadaiwa kutia aibu ukumbini baada ya kutaka kuzikunja na Master of Ceremony (MC) kisha kuumbuliwa na kigauni cha kihasarahasara alichokuwa ametupia. Prizenta asiyekaukiwa matukio wa Kituo cha Redio Times FM cha Jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’. Tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani