Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aibu ya Krismasi

IMG-20151222-WA0016Issa Mnally
AIBU ya mwaka! Mwalimu aliyefahamika kwa jina la Henry wa shule moja maarufu iliyopo Kimara jijini Dar, amenaswa na mkewe aitwaye Sesy akiwa na mke wa mtu chumbani, Ijumaa linakupa mchapo kamili.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni nyumbani kwa mwalimu huyo aishie Kimara-Temboni, majira ya saa sita usiku baada ya mkewe kutonywa na majirani kuwa mumewe alizama chumbani na mchepuko huo ambao nao una mume.

IMG-20151222-WA0005Kwa mujibu wa chanzo makini, siku ya tukio mke wa mwalimu huyo alikuwa...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Ni aibu iliyoje! Tabia ya wanawake kujiuza kwa kisingizio cha kusaka fedha kwa ajili ya Sikukuu ya Krismasi imewatokea puani wanawake zaidi ya kumi akiwemo mke wa mtu baada ya kunaswa mawindoni na kutiwa nguvuni. Makamanda wa Polisi pamoja na kikosi cha OFM wakiwataiti wanawke waliokuwa wakijiuza. Tukio hilo la aibu lilitokea katika msako maalum wa polisi waliotoa kolabo kwa Oparesheni Fichua...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Aibu yetu, aibu yao...

Tambo, ngebe zilizotawala vinywa vya mashabiki, viongozi wa Yanga na, Simba zinafikia mwisho leo kwa pambano linalozikutanisha timu hizo mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani