Shilole angusha pati ya kufunga mwaka
Shilole (katikati) akiwa amezungukwa na baadhi ya marafiki zake.
Shilole akicheza muziki huku baunsa wake akimshuhudia.
Baadhi ya warembo waliohudhuria pati hiyo wakiwa wamepozi.
Sehemu ya vinywaji na vitoweo vilivyokuwa vimeandaliwa na Shilole kwa ajili ya kuhakikisha anatimiza azma yake ya kufurahia na kusherekea siku chache za kufunga mwaka 2015 na baadhi ya wasanii na marafiki zake waliojitokeza mahali hapo,usiku wa kuamkia leo.
Waalikwa wakibadilishana mawazo kwa pozi tofauti.
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Shilole afanya pati ya aibu!
AMA kweli mapenzi yana sarakasi! Ndiyo kauli inayoweza kukuponyoka kufuatia tukio la staa anayebeba dhamana mbili katika sanaa ya Bongo, akitambulika kwenye uigizaji na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ambaye ameangusha bonge la pati ya aibu iliyojaa minong’ono kuwa ni sehemu ya furaha yake isiyo kifani ya kuachana na aliyekuwa mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Amani lina kila kitu.
TUJIUNGE NYUMBANI KWA SHILOLE
Tukio hilo la aina yake lililohudhuriwa na baadhi ya mastaa...
10 years ago
GPLSHILOLE AFANYA BONGE LA PATI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci2PsMqfmmwWv1HplrfKJguHTWxHxLYte1EPMFu-T-9AHsrHB6splLKF7nfU*UtqU6dOkxkV2yjQsiJdHGFr7apj/unnamed.jpg?width=650)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-la0tboz_faA/VPMBpzp1ExI/AAAAAAAAbRA/3nGX7BuJ5pY/s72-c/1.jpg)
UHURU FM 95.7 FM WAFANYA BONGE LA PATI KUUKARIBISHA MWAKA MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-la0tboz_faA/VPMBpzp1ExI/AAAAAAAAbRA/3nGX7BuJ5pY/s1600/1.jpg)
Tafrija hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mkurugenzi wao Angela Akilimali ilifana na kupongezwa na kila mfanyakazi kwa jambo hilo jema la kuwakutanisha wafanykazi na kufurahi pamoja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cS9YKk6SlTc/VPMGxjSApdI/AAAAAAAAbSA/6Y5s5kPDBJ8/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Uhuru FM 95.7 wafanya bonge la pati kuukaribisha mwaka mpya
![](http://3.bp.blogspot.com/-la0tboz_faA/VPMBpzp1ExI/AAAAAAAAbRA/3nGX7BuJ5pY/s1600/1.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM, Redio ya wananchi wakiongozwa na Dj Fast Edie (kushoto) wakishow love wakati wa tafrija yao ya kuukaribisha mwaka mpya iliyofanyika Februari 27, 2015 katika ukumbi wa Tukuyu katika Hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam.
Tafrija hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mkurugenzi wao Angela Akilimali ilifana na kupongezwa na kila mfanyakazi kwa jambo hilo jema la kuwakutanisha wafanykazi na kufurahi pamoja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cS9YKk6SlTc/VPMGxjSApdI/AAAAAAAAbSA/6Y5s5kPDBJ8/s1600/1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Uhuru FM, Angela Akilimali akizungumza machache...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-52XVCrewgFc/VKPcctRp04I/AAAAAAAG6tE/UQ7us3FJeJ0/s72-c/unnamed.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-52XVCrewgFc/VKPcctRp04I/AAAAAAAG6tE/UQ7us3FJeJ0/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5T5rAqwZNDw/VKPcgErb1II/AAAAAAAG6tU/ij1bYSredpE/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA JOHN MINJA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014, MAKAO MAKUU YA MAGEREZA, D'SALAAM