SHILOLE AFANYA ‘UTUNDU’ STEJINI
![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2YH12bpJOw5CEHTQJkT5ZcJ6ndzB6KNY42j6m-WZT82kObzC28C7ZDRgmysAm-YVuvbZabz7iRXLT2GE7ENJ*5i/20.jpg?width=650)
Chande Abdallah STAA wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Zuwena Mohamed 'Shilole' juzikati aliwatega vidume baada ya kufanya utundu wa aina yake kwa kuwaita jukwaani na kucheza nao wakati akipafomu kwenye shoo maalum ya Pasaka iliyodhaminiwa na Vodacom mwishoni mwa wiki. Mwanadada Shilole 'Shishi Baby' akionyesha mbwembwe zake stejini na mmoja wa mashabiki wake. Tukio hilo lilinaswa sawia na paparazi wetu maeneo ya Coco Beach...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GmprysGsbRkRnnuyKT0BPCgj*6ic2ZVzArlZ3JWLzszs8sSJiiPuYFUBjlLZi2QomVkFvzckYKi8xzxkxBr9l00bcASsH-jF/KANYEWEST3.jpg)
KANYE WEST AFANYA KWELI TAMASHA LA GLASTONBURY, AVAMIWA NA NJEMBA STEJINI
10 years ago
GPLSHILOLE AFANYA BONGE LA PATI
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Shilole afanya pati ya aibu!
AMA kweli mapenzi yana sarakasi! Ndiyo kauli inayoweza kukuponyoka kufuatia tukio la staa anayebeba dhamana mbili katika sanaa ya Bongo, akitambulika kwenye uigizaji na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ambaye ameangusha bonge la pati ya aibu iliyojaa minong’ono kuwa ni sehemu ya furaha yake isiyo kifani ya kuachana na aliyekuwa mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Amani lina kila kitu.
TUJIUNGE NYUMBANI KWA SHILOLE
Tukio hilo la aina yake lililohudhuriwa na baadhi ya mastaa...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Buhari awataka raia Nigeria waache utundu
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Snura akwepa ‘viroba’ stejini
NA RHOBI CHACHA
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi, alijikuta akirushiwa pombe zilizokuwa katika vifuko vidogo maarufu viroba akiwa jukwaani kama njia ya kumshangilia kwa uchezaji wake.
Snura alipanda jukwaani na kuimba wimbo wake ulioshika chati nchini wa ‘Nimevurugwa’ katika onyesho la miaka 16 ya msanii Juma Nature lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini.
Snura akiwa jukwaani, shabiki mmoja alimfuata na kumtunza kiroba kisha idadi...
10 years ago
GPLPROFESA JAY AKIFANYA YAKE STEJINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegChBzMk-QWkZ91ztt5ec9ZvFi6vyCFNkcuB2vZRwjBCQZ3LVhE3A3vzeioOKWFAH1*kDFn*6CW5s5qlxCEKCaKnq/hemed.jpg?width=650)
MKALI WA BODABODA ALETWA STEJINI KAMA MAREHEMU