MKALI WA BODABODA ALETWA STEJINI KAMA MAREHEMU
DJ Hemed Kavu 'HK' akiwaongea na mashabiki kabla ya kuwakaribisha vijana wake kutoa burudani. Msanii anayetamba kwa wimbo wa Bodaboda akiwapa raha mashabiki.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Apr
Madereva mabasi kama wa bodaboda
WAKATI ajali za barabarani zikiendelea kumaliza nguvu kazi ya Taifa na kuumiza vichwa vya Watanzania kuhusu suluhisho la ajali hizo, imefahamika moja ya tatizo sugu ni kukosekana kwa madereva wenye taaluma stahiki, ingawa wana leseni.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Majeruhi wa ujambazi Newala aletwa MNH
ASKARI Polisi aliyejeruhiwa kwenye tukio la ujambazi wilayani Newala alisafirishwa jana kwa ndege ya polisi akipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa matibabu zaidi. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda...
10 years ago
VijimamboRATIBA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU MHE. CAPT. JOHN KOMBA ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:
Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.
IMETOLEWA NA;OFISI KATIBU WA BUNGE1.3.2015
10 years ago
VijimamboVideo:Huwezi kuamini kama huu ni msiba, mke wa marehemu akavalishwa na shela kabisa
Sio tukio la kawaida kukutana na mtu kavaa gauni la harusi kwenye mazishi.. kwenye headlines za 254 jirani zetu wa nguvu Kenya kuna hii stori kutoka Kaunti ya Vihiga, unaambiwa mwanamke aliyefiwa na mume wake akalazimishwa kuvaa gauni ambalo anavaa bibi harusi wakati wa kufunga ndoa, alafu safari ya kwenda kwenye mazishi ikaanza.Mary Akatsa ni kiongozi wa Kanisa la Jerusalem Church of Christ alikuwa akiongoza kila kitu mpaka mazishi yalipoisha, ukicheki kwenye hii video huyo mama anaonekana...
10 years ago
MichuziJAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Snura akwepa ‘viroba’ stejini
NA RHOBI CHACHA
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi, alijikuta akirushiwa pombe zilizokuwa katika vifuko vidogo maarufu viroba akiwa jukwaani kama njia ya kumshangilia kwa uchezaji wake.
Snura alipanda jukwaani na kuimba wimbo wake ulioshika chati nchini wa ‘Nimevurugwa’ katika onyesho la miaka 16 ya msanii Juma Nature lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini.
Snura akiwa jukwaani, shabiki mmoja alimfuata na kumtunza kiroba kisha idadi...
10 years ago
GPLPROFESA JAY AKIFANYA YAKE STEJINI
10 years ago
GPLSHILOLE AFANYA ‘UTUNDU’ STEJINI