JAMBO LEO YAICHABANGA BODABODA FC TAMASHA LA BODABODA UKONGA
Mlinda mlango Maganga Benjamin wa timu ya Bodaboda Wilaya ya Ilala, akiudaka mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Jambo Leo 'Wagumu Stars' Zahoro Mlanzi (kushoto) na Ali Salum wakati wa Tamasha la Bodaboda lililofanyika kwenye Uwanja wa Ukonga Gerezani, Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. Jambo Leo ilishinda mabao 2-1.
Moja ya kizazaa langoni mwa Bodaboda FC iliyosababishwa na washambuliaji wa Jambo Leo
Mshambuliaji wa timu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Pql0LVpK4fQ/VXFfNy_KezI/AAAAAAAAd98/4UO_hAm8RL0/s72-c/jambo.jpeg)
TAMASHA LA JAMBO FASHION AFFAIR KUFANYIKA LEO ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pql0LVpK4fQ/VXFfNy_KezI/AAAAAAAAd98/4UO_hAm8RL0/s320/jambo.jpeg)
TAMASHA la Jambo Fashion Affair linatarajia kufanyika leo Jijini hapa na kushirikisha wabunifu wa ndani pamoja na wasanii kutoka Jijini Arusha na mikoa mbalimbali. Akizungumzia maandalizi ya tamasha hilo linafanyika leo, Augustine Namfua ambaye ni Mwenyekiti wa Jambo Festval alisema wamaejiandaa vizuri kuhakikisha wananchi wataohudhuria wanapata burudani ya ubunifu wa mavazi sambamba na muziki. Alisema wabunifu mbalimbali watakuwepo kama An Nisa, Fatma Naeem, Martin Kadinda ,Wanyoke Lewis,...
11 years ago
Michuzi31 Jan
KINANA AKUTANA NA WAENDESHA BODABODA JIJINI MBEYA LEO
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/01/154.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BxEg30z_u4Q/VXgTNufMEzI/AAAAAAAAEg8/NhPOw8KKuAE/s72-c/2.jpg)
MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI JIJINI MBEYA WAZUA TAFRAN MCHANA WA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BxEg30z_u4Q/VXgTNufMEzI/AAAAAAAAEg8/NhPOw8KKuAE/s640/2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s72-c/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA SABA WAMEJERUHIWWA KATIKA AJALI YA BASI NA BODABODA MKOANI LINDI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bz5XAf4OQ3M/UynVcAmZwwI/AAAAAAAFVDw/LqK4lnroSY8/s1600/6c860f6e21505f03e949e445344bc6c8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VPg5mfbP4jM/VItKivkz9nI/AAAAAAAG220/wW-lycZGS0k/s72-c/bunj.jpg)
shangingi lapigwa kiberiti baada ya kugonga na kuuwa madereva watatu wa bodaboda jijini Dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-VPg5mfbP4jM/VItKivkz9nI/AAAAAAAG220/wW-lycZGS0k/s1600/bunj.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ev5cfhE_-wM/VItLDUP3eRI/AAAAAAAG23A/CbdTrISMjfk/s1600/bunju%2B2.png)
10 years ago
VijimamboJAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo
![IMG_8831](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_8831.jpg)
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cntZ0jIN0hM/VnxSVnD0VGI/AAAAAAAIOXk/a9Ku7zYVaME/s72-c/024184cd-fd7b-41ea-872a-433f39034e32.jpg)
MWILI WA AFISA WA GEREZA KUU UKONGA WAAGWA LEO UKONGA JIJINI, DAR ESALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-cntZ0jIN0hM/VnxSVnD0VGI/AAAAAAAIOXk/a9Ku7zYVaME/s640/024184cd-fd7b-41ea-872a-433f39034e32.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-c4mQdLq5ZQg/VnxSWCQq_9I/AAAAAAAIOXo/HePqOLOapu4/s640/caff93af-2ef9-4110-96b2-99e768d92205.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rMsPm-3DfGY/VnxSWRWYZtI/AAAAAAAIOXs/VH2OCec3JOE/s640/ee8ea79c-e8c3-4bf4-8448-a7aff91f1929.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ygGIc3dIcKk/U0JnSr_5yyI/AAAAAAAFZKE/azhLBmNht3o/s72-c/MMG29854.jpg)
BODABODA WASH.....
![](http://3.bp.blogspot.com/-ygGIc3dIcKk/U0JnSr_5yyI/AAAAAAAFZKE/azhLBmNht3o/s1600/MMG29854.jpg)