MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI JIJINI MBEYA WAZUA TAFRAN MCHANA WA LEO

Madereva wa bajaji jijini Mbeya, Mapema wameandamana kuanzia eneo la Mafiati kuelekea Mwanjelwa huku wakichoma moto mataili ya gari kwenye baarabara kuu Tunduma katika makutano ya eneo hilo, kwa madai ya kwamba wanahitaji wapewe ruhusa ya kutembea na kuruhusiwa kupita barabara kuu na kupunguziwa mapato ya ushuru wa bajaji hizo, hali ya usalama ilitetereka kidogo mjini hapa, hadi pale jeshi la polisi lilipofika kutuliza gasia kwa kupiga mabomu ya machozi kukabili hali hiyo.picha zote...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Madereva wa bodaboda wazua kizaazaa Geita
10 years ago
Michuzi
shangingi lapigwa kiberiti baada ya kugonga na kuuwa madereva watatu wa bodaboda jijini Dar es salaam leo


11 years ago
Michuzi31 Jan
KINANA AKUTANA NA WAENDESHA BODABODA JIJINI MBEYA LEO

11 years ago
Michuzimadereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
10 years ago
Michuzi
HIVI NDIVYO HALI ILIVYO JIJINI MBEYA LEO KUTOKANA NA MGOMO WA MADEREVA UNAOENDELEA NCHI NZIMA


5 years ago
Michuzi
TAASISI YA TULIA TRUST YAMWAGA BAJAJI 16 JIJINI MBEYA

Akikabidhi Bajaj hizo kwenye makao makuu ya ofisi hizo zilizopo Block T Kata ya Iyela Jijini Mbeya Meneja wa Tulia Trust Jacquline Boaz amesema lengo la Taasisi yake ni kuhakikisha vijana wanajiajiri pia kumiliki vyombo vyao badala ya kutegemea waajiri ambao hudai malipo yenye riba kubwa pindi...
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
PSPF watoa zawadi kwa washindi wa ligi ya madereva wa Bodaboda wa Kipunguni jijini Dar
10 years ago
GPLPSPF WATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA LIGI YA MADEREVA WA BODABODA WA KIPUNGUNI JIJINI DAR
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Sumatra: Bodaboda, bajaji marufuku ‘Simu 2000’