TAASISI YA TULIA TRUST YAMWAGA BAJAJI 16 JIJINI MBEYA

TAASISI ya Tulia Trust imekiwezesha Chama cha Bajaji Jiji la Mbeya mkopo wa Bajaji mpya kumi na sita zenye thamani ya shilingi milioni mia moja ishirini ili ziweze kuwasaidia katika kujikimu kiuchumi.
Akikabidhi Bajaj hizo kwenye makao makuu ya ofisi hizo zilizopo Block T Kata ya Iyela Jijini Mbeya Meneja wa Tulia Trust Jacquline Boaz amesema lengo la Taasisi yake ni kuhakikisha vijana wanajiajiri pia kumiliki vyombo vyao badala ya kutegemea waajiri ambao hudai malipo yenye riba kubwa pindi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI JIJINI MBEYA WAZUA TAFRAN MCHANA WA LEO

5 years ago
CCM BlogMKUU WA WILAYA ILALA BI. SOPHIA MJEMA AISHUKURU TAASISI YA ASSAS TRUST YA JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi
NAIBU SPIKA DKT. TULIA ACKSON AWAFUTA MACHOZI MAMA LISHE NA ABIRIA JIJINI MBEYA
“Siku ya leo hatujaja kutekeleza kila ahadi kwasababu hapa tuna machinga...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
GEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA
10 years ago
Michuzi
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.


10 years ago
GPLGEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA
5 years ago
Michuzi
TAASISI YA BENJAMIN MKAPA YAMWAGA AJIRA 307 ZA WATUMISHI WA AFYA.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao na Waandishi wa habari, kilichofanyika Jinjini Dodoma.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Waandishi wa habari.

Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Benjamin Mkapa Dkt. Ellen Mkondya akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano ulioongozwa na Waziri wa Afya leo Jijini Dodoma.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
5 years ago
Michuzi
NAIBU SPIKA DKT. TULIA AKINUNUA NYANYA SOKOMATOLA MBEYA


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akinunua mahitaji mbalimbali ya nyumbani ikiwemo nyanya Sokomatola mkoani Mbeya. Picha na Michael Msombe
5 years ago
MichuziTAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA