Sumatra: Bodaboda, bajaji marufuku ‘Simu 2000’
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imepiga marufuku bajaji na pikipiki (bodaboda) kuegeshwa na kufanya biashara katika kituo kipya cha daladala cha ‘Simu 2000’, kilichopo Ubungo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BxEg30z_u4Q/VXgTNufMEzI/AAAAAAAAEg8/NhPOw8KKuAE/s72-c/2.jpg)
MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI JIJINI MBEYA WAZUA TAFRAN MCHANA WA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BxEg30z_u4Q/VXgTNufMEzI/AAAAAAAAEg8/NhPOw8KKuAE/s640/2.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Sep
Sumatra kuwabana wenye bodaboda
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema usajili wa pikipiki maarufu kama ‘bodaboda’ utafanywa pamoja na kukagua namba zenye rangi ya njano huku zikiwa zinafanyabiashara jambo ambalo ni kinyume.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s72-c/ddd2AAA-768x633.jpg)
KAMPUNI YA ASAS AYATOA MAFUNZO NA KUGAWA VIFAA KINGA DHIDI YA KORONA KWA BODABODA NA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s640/ddd2AAA-768x633.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/dddAAA-1024x681.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0699AAA-1024x681.jpg)
Afisa wa Usalama Mahali pa Kazi kutoka kampuni ya ASAS, Cosmas Charles akitoa elimu kwa madereva bajaji juu ya kunawa mikono kujinga na maambukizi ya virus vya corona kwenye kituo cha bajaji cha M.r hotel kilichoko manispaa ya Iringa.
……………………………….
NA DENIS MLOWE. IRINGA
KAMPUNI ya Asas imegawa msaada wa vifaa kinga na mafunzo dhidi ya kujinga na Virusi Vya Corona kwenye vituo vya Bodaboda na Bajaji manispaa ya Iringa.
Msaada huo wa ndoo maalum za kunawihia mikono na sabuni ‘Sanitezer’...
11 years ago
MichuziWAENDESHA BODABODA, BAJAJI NA WAFANYABIASHARA MAENEO YASIYORUHUSIWA WANYOOSHEWA KIDOLE,SASA KUKUMBWA NA OPARESHENI ENDELEVU YA KUWAONDOA
10 years ago
VijimamboMEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI SOKO LA MAWASILIANO SIMU 2000
Na Mwandishi wetu
MSTAHIKI Meya wa manispaa ya Kinondoni, Yusufu Mwenda amesema kuwa soko jipya la SIMU 2000 litaweza kuchukua wafanyabiashara 512 kutoka kila pembe ya manispaa ya kinondoni.
Mwenda amewatoa hofu wafanyabiashara wa soko jipya la kituo cha basi cha Simu2000 mawasiliano ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y9oCKa06hjA/XnNXXDOuHoI/AAAAAAAAGzk/1bqQvXjMu1kJMazdn41d2L1GOQOujdZ1wCLcBGAsYHQ/s72-c/20200317_130713.jpg)
KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA SIMU 2000,UBUNGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y9oCKa06hjA/XnNXXDOuHoI/AAAAAAAAGzk/1bqQvXjMu1kJMazdn41d2L1GOQOujdZ1wCLcBGAsYHQ/s640/20200317_130713.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HgbpZ0-LfnA/XnNYcnsiJWI/AAAAAAAAG0U/Il8GxErg_LQB13NTUB-nLO74ghAyIer4gCLcBGAsYHQ/s640/20200317_130933.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fjH92cFVm1s/XnNZBE8s67I/AAAAAAAAG0w/BRVbFEBY2icqmoL71Dl8w2Y6vAbEvOWaACLcBGAsYHQ/s640/20200317_131043.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bn5PgACYPb0/XnNZ0UsIj0I/AAAAAAAAG1g/Yf1U1bhJW3wthFOh6DNQgJhcPkFrkRCagCLcBGAsYHQ/s640/20200317_132217.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gSG095qmjy8/XnNaFKxeKGI/AAAAAAAAG1w/S6MQutnd_wUa8rftcOTSSgvR4bEubFdXwCLcBGAsYHQ/s640/20200317_132430.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QuYWMmBLYuA/XnNazRvrqGI/AAAAAAAAG2E/YlZXQlkS1hQMaCnyzJRGu8CLxje8JHy7QCLcBGAsYHQ/s640/20200317_134941%25280%2529.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima25 Oct
Mnyika ataka haki ugawaji nafasi kituo cha simu 2000
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameitaka Manispaa ya Kinondoni kugawa nafasi za kufanyia biashara katika kituo kipya cha Daladala Simu 2000 kwa kuzingatia haki ili kuepuka misuguano. Mnyika, aliyasema...