Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumatra: Bodaboda, bajaji marufuku ‘Simu 2000’

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imepiga marufuku bajaji na pikipiki (bodaboda) kuegeshwa na kufanya biashara katika kituo kipya cha daladala cha ‘Simu 2000’, kilichopo Ubungo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI JIJINI MBEYA WAZUA TAFRAN MCHANA WA LEO

 Madereva wa bajaji jijini Mbeya, Mapema wameandamana kuanzia eneo la Mafiati kuelekea Mwanjelwa huku wakichoma moto mataili ya gari kwenye baarabara kuu Tunduma katika makutano ya eneo hilo, kwa madai ya kwamba wanahitaji wapewe ruhusa ya kutembea na kuruhusiwa kupita barabara kuu na kupunguziwa mapato ya ushuru wa bajaji hizo, hali ya usalama ilitetereka kidogo mjini hapa, hadi pale  jeshi la polisi lilipofika  kutuliza gasia kwa kupiga mabomu ya machozi kukabili hali hiyo.picha zote...

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra kuwabana wenye bodaboda

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) imesema usajili wa pikipiki maarufu kama ‘bodaboda’ utafanywa pamoja na kukagua namba zenye rangi ya njano huku zikiwa zinafanyabiashara jambo ambalo ni kinyume.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ASAS AYATOA MAFUNZO NA KUGAWA VIFAA KINGA DHIDI YA KORONA KWA BODABODA NA BAJAJI



Afisa wa Usalama Mahali pa Kazi kutoka kampuni ya ASAS, Cosmas Charles akitoa elimu kwa madereva bajaji juu ya kunawa mikono kujinga na maambukizi ya virus vya corona kwenye kituo cha bajaji cha M.r hotel kilichoko manispaa ya Iringa.

……………………………….

NA DENIS MLOWE. IRINGA

KAMPUNI ya Asas imegawa msaada wa vifaa kinga na mafunzo dhidi ya kujinga na Virusi Vya Corona kwenye vituo vya Bodaboda na Bajaji manispaa ya Iringa.

Msaada huo wa ndoo maalum za kunawihia mikono na sabuni ‘Sanitezer’...

 

11 years ago

Michuzi

WAENDESHA BODABODA, BAJAJI NA WAFANYABIASHARA MAENEO YASIYORUHUSIWA WANYOOSHEWA KIDOLE,SASA KUKUMBWA NA OPARESHENI ENDELEVU YA KUWAONDOA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kutoa agizo kwa viongozi na watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha kuwa wanawaondoa na kuwachukulia hatua za kisheria wanaovunja sheria za jiji kwa kuendesha shughuli mbalimbali katika maeneo yasiyoruhusiwa. Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishna (CP) Suleiman Kova akitoa ufafanuzi ameeleza kwa waandishi wa habari kuhusu wakazi wa jiji la Dar es salaam hususan...

 

10 years ago

Vijimambo

MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI AKABIDHI SOKO LA MAWASILIANO SIMU 2000

Meya wa manispaa ya Kinondoni Yusufu Mwenda akiwa na watendaji wa soko hio wakikagua vizmba kabla ya kuwakabidhi wafanya biashara.Meya wa Manispaa ya Kinondoni akiongea na wafanyabiashara wa soko la simu 2000


Na Mwandishi wetu
MSTAHIKI  Meya wa manispaa ya Kinondoni, Yusufu Mwenda  amesema kuwa soko jipya la SIMU 2000 litaweza kuchukua wafanyabiashara 512 kutoka kila pembe ya manispaa ya kinondoni.
Mwenda amewatoa hofu wafanyabiashara wa soko jipya la kituo cha basi cha Simu2000 mawasiliano ...

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA SIMU 2000,UBUNGO

 Wajasirimali katika Soko la Mahindi mabichi Simu 2000 wilaya ya Ubungo wakichagua mahidi kwaajili ya kwenda kuuza sehmu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam,ambapo Hindi moja huuzwa kati ya shiling 150 mpaka ,300,(Picha zote Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

 
 Malori ya Mahindi yakishusha bidhaa hiyo sokoni katika soko la Simu 2000 wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Wachuuzi wa Samaki wakisubiri  wakiendelea na kazi zao kama inavyo onekana pichani(Picha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ataka haki ugawaji nafasi kituo cha simu 2000

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameitaka Manispaa ya Kinondoni kugawa nafasi za kufanyia biashara katika kituo kipya cha Daladala Simu 2000 kwa kuzingatia haki ili kuepuka misuguano. Mnyika, aliyasema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani