KAMPUNI YA ASAS AYATOA MAFUNZO NA KUGAWA VIFAA KINGA DHIDI YA KORONA KWA BODABODA NA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s72-c/ddd2AAA-768x633.jpg)
Afisa wa Usalama Mahali pa Kazi kutoka kampuni ya ASAS, Cosmas Charles akitoa elimu kwa madereva bajaji juu ya kunawa mikono kujinga na maambukizi ya virus vya corona kwenye kituo cha bajaji cha M.r hotel kilichoko manispaa ya Iringa.
……………………………….
NA DENIS MLOWE. IRINGA
KAMPUNI ya Asas imegawa msaada wa vifaa kinga na mafunzo dhidi ya kujinga na Virusi Vya Corona kwenye vituo vya Bodaboda na Bajaji manispaa ya Iringa.
Msaada huo wa ndoo maalum za kunawihia mikono na sabuni ‘Sanitezer’...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-kxiyNfCY2Og/Xl5_9-YjBrI/AAAAAAAAHqI/oXzBYs5xoLYxSqUpFQ8QtBjd4wNJJ1M_wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200226-WA0026.jpg)
MADEREVA BAJAJI IRINGA WATAJIRIKA KWA UDHAMINI WA KAMPUNI YA ASAS
![](https://1.bp.blogspot.com/-kxiyNfCY2Og/Xl5_9-YjBrI/AAAAAAAAHqI/oXzBYs5xoLYxSqUpFQ8QtBjd4wNJJ1M_wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200226-WA0026.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-sMLUPzbDojc/Xl5_96nSyWI/AAAAAAAAHqM/EGcnDriw9_4XofZoQTE5k__MMlTIideQwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200226-WA0024.jpg)
KAMPUNI ya Asas Group ya mjini Iringa imeudhamini Umoja wa Madereva Bajaj Iringa (UMBI) kupata mkopo wa zaidi ya Sh Milioni 650 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita-uliowawezesha kununua bajaj 97 zilizokopeshwa kwa mwanachama mmoja mmoja.
Kati ya bajaj hizo, bajaj 40 zenye thamani ya Sh 280 zilikabidhiwa juzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s72-c/ahmed-2.jpg)
KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS WAWADHAMINI BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s640/ahmed-2.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akikata utepe kuzindua uandikishwaji wa madereva bajaji kuweza kukata bima ya afya ambapo wamedhaminiwa na kampuni ya maziwa ya Asas ambapo mkurugenzi wake Ahmed Salim Abri akiwa pembeni mwa kushoto kwal Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ahmed-3.jpg)
5 years ago
CCM BlogTAASISI YA ANDALUSIA NA HANDS HAPPY ZAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KINGA DHIDI YA CORONA KWA WILAYA YA ILALA
Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa vya kinga dhidi ya Corona kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iMh59QeVKik/Xr0nnoXIuHI/AAAAAAALqLw/YaMsbdkLrTQ-025hMD3ayKkVihl5pfUIQCLcBGAsYHQ/s72-c/3130d90a-9278-4f43-a158-f48e35164bbf.jpg)
JESHI LA POLISI LAPOKEA VIFAA KINGA DHIDI YA CORONA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-iMh59QeVKik/Xr0nnoXIuHI/AAAAAAALqLw/YaMsbdkLrTQ-025hMD3ayKkVihl5pfUIQCLcBGAsYHQ/s640/3130d90a-9278-4f43-a158-f48e35164bbf.jpg)
Kamishna wa Polisi, Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi CP Shaban Hiki akipokea vifaa kinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona kutoka kwa Balozi wa kampeni ya Mikoni safi, Tanzania salama, Msanii Mrisho Mpoto (Mjomba), tukio lililofanyika katika makao makuu Jeshi la Polisi Ofisi ndogo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f27e13e3-2eb8-4a72-aeac-2df9b8d48966.jpg)
Timu ya uhamasishaji kutoka Wizara ya Afya na Wadau kutoka Shirika lisilo Lakiserikali la Project CLEAR wakimsikiliza Kamishna wa Polisi, Kamisheni ya Uchunguzi wa Kisayansi CP...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fdzQZjWEbpo/XrEQKsnQzXI/AAAAAAALpLE/OpgHuenFokIc4AG8kFgxBD5Zk8Z075ATACLcBGAsYHQ/s72-c/ba32994a-d591-4fcf-9782-4f0505072d74.jpg)
MHOLA WAKABIDHI MSAADA WA VIFAA KINGA DHIDI YA CORONA
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Shirika la lisilokuwa la Kiserikali linalojihusisha na utoaji wa msaada wa kisheria pamoja na malezi na makuzi ya watoto Wilayani Muleba limetoa vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, ikiwa ni harakati na muendelezo wa mapambano dhidi ya Corona.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Muleba pamoja na viongozi wengine wa Wilaya hiyo Mkurugenzi wa Shirika hilo Bwana Saulo Marauli amesema kuwa vifaa hivyo ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s72-c/lhrc%2Bcorona.jpeg)
LHRC WACHANGIA VIFAA KINGA, MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jQEIjuUDv0k/XrlCAizMm0I/AAAAAAAA4eo/kfOOvsY0plIWGRg0F6iaz4iM8WUo__E5wCNcBGAsYHQ/s640/lhrc%2Bcorona.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga (katikati) akiwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Rashid Mfaume wakati wa makabidhiano ya vifaa kinga.
Katika kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuendelea kutoa elimu kwa umma juu ya namna ya kukabiliana na maambukizi.
Maambukizi ya virusi vya corona yanaathiri haki za msingi ikiwemo haki ya kuishi, haki ya kufanya kazi na kupata ujira, haki...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
Medali ,vyeti na tuzo ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.
Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-meOkZRHnyBs/VXgX3u_BcOI/AAAAAAAB9jk/HyLEx-Gjc-c/s640/blogger-image--833356817.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x7NE7xv6rxU/XsDw6DivcJI/AAAAAAALqhY/4p9J9HnDEIAaREbstQZGz_lM7VrTAPtlACLcBGAsYHQ/s72-c/2fa7e905-e760-4795-b706-277a7a173e4d.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YAUNGA MKONO SERIKALI VIFAA KINGA VYA CORONA STENDI YA MAFINGA
Kipima joto kilichotolewa na Kampuni ya Qwihaya General Enterprises Co Ltd kimesababisha wananchi wanaofanya kazi stendi ya Mafinga wilayani Mufindi kusimamisha shughuli zao kwa muda ili wapime joto la miili yao.
Wananchi hao wakiwepo wapiga debe na wafanyabiashara ndogo ndogo walimteua mwenzao, akajifunza kukitumia na baadae walipanga foleni ili kila mmoja apime kujua joto la mwili wake.
Kifaa hicho, matenki mawili ya kuhifadhia maji na vitakasa mikono ni miongoni mwa...
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s72-c/blogger-image--1990319810.jpg)
KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s640/blogger-image--1990319810.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)