TAASISI YA ANDALUSIA NA HANDS HAPPY ZAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KINGA DHIDI YA CORONA KWA WILAYA YA ILALA
Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya kinga dhidi ya Corona kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema wenye thamani ya sh. mil. 7, vikiwemo vifaa vya mavazi ya kujikinga wakati wa kuwahudumia wagonjwa wa ugonjwa huo.
Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa vya kinga dhidi ya Corona kwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogTAASISI YA ANDALUSIA NA GROUP YA HAPPY HANDS YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA MADAKTARI NA WAUGUZI VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI SABA
Kiongozi wa Taasisi ya Andalusia na Group ya Happy Hands Zainab Bunamay (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bi. Sophia mjema wenye dhamani ya Sh. Milioni Saba uliotole kwa niaba ya Taasisi hiyo vikiwemo vifaa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fdzQZjWEbpo/XrEQKsnQzXI/AAAAAAALpLE/OpgHuenFokIc4AG8kFgxBD5Zk8Z075ATACLcBGAsYHQ/s72-c/ba32994a-d591-4fcf-9782-4f0505072d74.jpg)
MHOLA WAKABIDHI MSAADA WA VIFAA KINGA DHIDI YA CORONA
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Shirika la lisilokuwa la Kiserikali linalojihusisha na utoaji wa msaada wa kisheria pamoja na malezi na makuzi ya watoto Wilayani Muleba limetoa vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, ikiwa ni harakati na muendelezo wa mapambano dhidi ya Corona.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Muleba pamoja na viongozi wengine wa Wilaya hiyo Mkurugenzi wa Shirika hilo Bwana Saulo Marauli amesema kuwa vifaa hivyo ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mArRgPu-yeE/Xrm3u_s9luI/AAAAAAALp10/vcGZJMzdj5UZ5o-myCtG5gvXDk9RpNIKQCLcBGAsYHQ/s72-c/4df35b63-19be-49ac-80e9-ce0bb820d439.jpg)
MKUU WA WILAYA YA MONDULI APOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA VYA COVID_19
Mkuu wa wilaya amepokea Ndoo kumi za kunawia mikono pamoja na Vitakasa mikono Chupa kumi kutoka kanisa la Free Pentecostal Church of Tanzania -FPCT kupitia mradi wake wa Tunandoto Tanzania Programu.
Akikabidhi msaada huo Mchungaji wa Kanisa hilo hapa Monduli Mch.Wilbert Mollel akifuatana na Mratibu wa mradi ndg.Lomayani Laizer amesema kuwa Kanisa limeona kuwa Lina...
5 years ago
MichuziODO UMMY FOUNDATION YATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA TAASISI ZA DINI JIJINI TANGA
MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kulia akizungumza wakati akishukuru Taasisi ya Odo Ummy Foundation kwa msaada ndoo 120 na sabuni 60 ikiwemo vifaa vyake vya
kuwekea ndoo hizo ili kuwawezesha kuzitumia katika kuhakikisha wanajikinga na
maambukizi hayo ambayo kwa sasa yamekuwa yakilitikisha dunia katikati
ni Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga
Katibu wa Taasisi ya Odo Ummy Foundation Khatibu Kilenga kulia akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N3KLStRpPRU/XtDNlLRaTCI/AAAAAAALr9Y/7TFbDSOxdigTum80hkspC8f0Mii-LFjygCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.44.45%2BAM.jpeg)
TAASISI YA GFF YAKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYA YA MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-N3KLStRpPRU/XtDNlLRaTCI/AAAAAAALr9Y/7TFbDSOxdigTum80hkspC8f0Mii-LFjygCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.44.45%2BAM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HGI2IayM3JA/XtDM-mHvKTI/AAAAAAALr88/Wqw-unuVs9cJZ3OM3zqf_0wKZDnSpWCAgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.53.11%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QUT2i_ynWvU/XtDM_2F0tkI/AAAAAAALr9A/Ib0-yt6Khfg-i6iB-EBnxTFvzPapPOLDwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-29%2Bat%2B10.53.15%2BAM%2B%25281%2529.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HK65PW46XKM/XtjQRage0WI/AAAAAAALsmc/MLJ7db3EYkIM5dqvvVIC9SarOP1RoFSbQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0059.jpg)
TAASISI YA CSEE, CHILD FUND KOREA WATOA MSAADA WA VIFAA KUKABILIA VIRUSI VYA CORONA VYA THAMANI YA MIL 40/- KARATU
Na Woinde Shizza, KARATU
TAASISI ya Community Aid and Social Education Empowerment (CSEE) kwa kushirikiana na Child Fund Korea ambao wamejikita katika kusaidia watoto dhidi ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona wametoa msaada wa vifaa venye thamani ya shilingi million 40 kwa Wilaya ya Karatu.
Msaada huo ni vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona ambavyo ni pamoja na spika za sauti za kusaidia kuelimishia jamii sehemu mbalimbali zenye shughuli zinazokusanya watu wengi kwa ...
5 years ago
CCM BlogTAASISI YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA CORONA VYENYE THAMANI YA MILIONI SABA
Kiongozi wa Taasisi ya Chuo cha Mafunzo pamoja na Group la Happy Hands Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vitu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-La-2NuivUhs/Xrktu2Vde8I/AAAAAAALpxw/2KXoRofohsYO-3tuweMFEugI_pmPS9tPQCLcBGAsYHQ/s72-c/467.jpg)
TAASISI YA PAMOJA IKISHIRIKIANA NA RED CROSS UNGUJA WATOA MSAADA WA VIFAA VYA KUPAMBANA NA CORONA (COVID-1).
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...