MKUU WA WILAYA YA MONDULI APOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA VYA COVID_19
![](https://1.bp.blogspot.com/-mArRgPu-yeE/Xrm3u_s9luI/AAAAAAALp10/vcGZJMzdj5UZ5o-myCtG5gvXDk9RpNIKQCLcBGAsYHQ/s72-c/4df35b63-19be-49ac-80e9-ce0bb820d439.jpg)
Leo tarehe 11/05/2020 Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mheshimiwa Iddi Hassani Kimanta amepokea vifaa kinga kwajili ya ugonjwa covid_19.
Mkuu wa wilaya amepokea Ndoo kumi za kunawia mikono pamoja na Vitakasa mikono Chupa kumi kutoka kanisa la Free Pentecostal Church of Tanzania -FPCT kupitia mradi wake wa Tunandoto Tanzania Programu.
Akikabidhi msaada huo Mchungaji wa Kanisa hilo hapa Monduli Mch.Wilbert Mollel akifuatana na Mratibu wa mradi ndg.Lomayani Laizer amesema kuwa Kanisa limeona kuwa Lina...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogTAASISI YA ANDALUSIA NA HANDS HAPPY ZAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KINGA DHIDI YA CORONA KWA WILAYA YA ILALA
Kiongozi wa Taasisi ya Mafunzo ya Andalusia pamoja na Happy Hands, Zainab Bunamy (kushoto) akikabidhi msaada wa vifaa vya kinga dhidi ya Corona kwa...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 50
5 years ago
MichuziSHIRIKA LA UZIKWASA LATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA WILAYA YA PANGANI
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange na kulia ni Mkurugenzi wa Halmashsuri ya wilaya ya Pangani Isaya Mbenje
Mkurugenzi wa Shirika la Uzikwasa Novatus Urassa kushoto akikabidhi Msaada wa Vifaa Kinga na Vifaa Tiba kwa Uongozi wa wilaya ya Pangani anayefuatia kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Pangani Mwalimu...
5 years ago
CCM BlogNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYA SH. MIL 15 WILAYA YA UBUNGO
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s72-c/PIX1.jpg)
Waziri Mukangara apokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s1600/PIX1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Brien Holden Vision yatoa msaada wa vifaa vya kupimia macho Wilaya ya Mkuranga na Kibaha
Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya Brien Holden Vision Institute, Eden Mahayo akisisitiza jambo wakati alipofika katika hospitali ya Wilaya ya Mkuranga kukabidhi msaada wa vifa vya macho kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za Mkuranga ambapo wanafunzi hao watapata huduma ya kupima na kutibiwa macho bure. Kulia ni Mganga mkuu wa Wilaya hiyo Dkt.Francis Mwanisi,Kaimu Mkurugenzi wa Mkuranga Benjamin Majoya na Mratibu wa Taifa wa Huduma ya Macho Dkt.Nkundwe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aE5gaKOGBww/XsfeQ7lkgXI/AAAAAAALrSo/eAbqGqRaCNsvpLpGeE4ZzW1lfyGo1r6VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200521-WA0324.jpg)
MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI APOKEA MICHE 500 YA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aE5gaKOGBww/XsfeQ7lkgXI/AAAAAAALrSo/eAbqGqRaCNsvpLpGeE4ZzW1lfyGo1r6VQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200521-WA0324.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XKj-9Mr8kKs/XsfeRoiVsTI/AAAAAAALrSw/qQwJV6cGznQsYWnp7X1-5PxEyGbnUD62wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200521-WA0325.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Anderson Ulaya jana amepokea miche 500 ya miti kutoka katika...