MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI APOKEA MICHE 500 YA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aE5gaKOGBww/XsfeQ7lkgXI/AAAAAAALrSo/eAbqGqRaCNsvpLpGeE4ZzW1lfyGo1r6VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200521-WA0324.jpg)
Mwenyekiti wa Programu ya Tunandoto wa pili kushoto Godlisten Koka akimkabithi Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Monduli Anderson Ulaya miche 500 ya miti kutoka katika uongozi wa Programu yao inayotekelezwa kwa kushirikiana na kanisa la Free Pentecostal church of Tanzania-FPCT Monduli juzi (picha na WOINDE SHIZZA) Na Woinde Shizza,MONDULI
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Anderson Ulaya jana amepokea miche 500 ya miti kutoka katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://3.bp.blogspot.com/-6gULUYkSJoM/XtDZwNpAE3I/AAAAAAAAQvg/iFr-XcnqX8k1IhQmQ-8a1hhuHJksueX2ACK4BGAYYCw/s72-c/IMG-20200529-WA0029%2B%25281%2529.jpg)
WILAYA YA MONDULI YAPOKEA MICHE 500 YA MITI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI
Vero Ignatus.
Mamlaka ya Misitu wilaya ya Monduli (TFS) imekabidhiwa Miche ya miti zaidi 500 ili kupambana na mabadiliko ya Tabia Nchi kutoka Mradi wa Tunandoto Tanzania Ulio chini ya Kanisa la FPCT.
Akikabidhi miti hiyo Mkurugenzi wa wilaya hiyo Stephen Ulaya amesema amekabidhi miche hiyo kwa Mamlaka ya Misitu Tanzania (TFS) wilaya ya Monduli ili kuelekeza miche hiyo katika maeneo yenye uhitaji ndani ya wilaya hiyo.
Ulaya amesema miche hiyo ya Miti wamepokea kutoka Mradi wa Tunandoto ulio...
11 years ago
MichuziMh. Lowassa ahani Msiba wa Mkurugenzi wa zamani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FUh4N1sv_kQ/UIfW2jJ_cGI/AAAAAAAAC-I/3LlBzQeJxdU/s72-c/TZ_Manyara_wilaya.gif)
MKURUGENZI WA MTENDAJI WILAYA YA HANANG' AKANUSHA TUHUMA ZA HALMASHAURI YAKE KUTAFUNA FEDHA ZAIDI YA TSH MILINIONI 500
![](http://4.bp.blogspot.com/-FUh4N1sv_kQ/UIfW2jJ_cGI/AAAAAAAAC-I/3LlBzQeJxdU/s640/TZ_Manyara_wilaya.gif)
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Filex Mabula amesema taarifa zilizotolewa kuwa halmashauri hiyo imetumiavibaya zaidi ya sh508.6 milioni fedha za shule na za kusambaza maji vijijini, zilizotolewa na benki ya dunia, siyo za kweli.
Akizungumza na waandisi wa habari jana, Mabula alisema halmashauri hiyoilitoa sh225.5 milioni kwenye shule za bweni kwa ajili ya chakula kwa mwaka 2013 hadi 2014 sawa na asilimi 281.9 ya fedha zilizoidhinishwa...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mkurugenzi wa Mtendaji wilaya ya Hanang’ akanusha tuhuma za halmashauri yake kutafuna fedha zaidi ya Tsh Milioni 500
Na woinde shizza wa libeneke la kaskazini blog
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Filex Mabula amesema taarifa zilizotolewa kuwa halmashauri hiyo imetumia vibaya zaidi ya sh508.6 milioni fedha za shule na za kusambaza maji vijijini, zilizotolewa na benki ya dunia, siyo za kweli.
Akizungumza na waandisi wa habari jana, Mabula alisema halmashauri hiyo ilitoa sh225.5 milioni kwenye shule za bweni kwa ajili ya chakula kwa mwaka 2013 hadi 2014 sawa na asilimi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SR7L5mjyzUI/XoS5_v2HAVI/AAAAAAALl0Q/kwBpgTKvkusLrilPtLxP5v5t_j_dwsVNwCLcBGAsYHQ/s72-c/7a0150c6-ad7f-4891-ae25-d8ec831c3923.jpg)
TFS YAADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI MITI KITAIFA KWA KUGAWA BURE MICHE YA MITI KWA WAKAZI WA DAR
KATIKA kuepuka mikusanyiko kama sehemu ya kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19(Corona) , Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)umeamua kuadhimisha kilele cha siku ya upandaji miti kitaifa kwa kugawa miche ya miti kwa wananchi.
TFS imegawa miche hiyo ya miti ya aina mbalimbali leo Aprili 1, mwaka 2020 jijini Dar es Salaam huku ikitoa rai kwa wananchi wa Dar es Salaam,Tanga na Pwani kutumia kipindi hiki cha mvua za masika kupanda miti kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mArRgPu-yeE/Xrm3u_s9luI/AAAAAAALp10/vcGZJMzdj5UZ5o-myCtG5gvXDk9RpNIKQCLcBGAsYHQ/s72-c/4df35b63-19be-49ac-80e9-ce0bb820d439.jpg)
MKUU WA WILAYA YA MONDULI APOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA VYA COVID_19
Mkuu wa wilaya amepokea Ndoo kumi za kunawia mikono pamoja na Vitakasa mikono Chupa kumi kutoka kanisa la Free Pentecostal Church of Tanzania -FPCT kupitia mradi wake wa Tunandoto Tanzania Programu.
Akikabidhi msaada huo Mchungaji wa Kanisa hilo hapa Monduli Mch.Wilbert Mollel akifuatana na Mratibu wa mradi ndg.Lomayani Laizer amesema kuwa Kanisa limeona kuwa Lina...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BjvCCF7JMcM/VPnYKreLALI/AAAAAAAHIGE/W68F47Wo_xY/s72-c/MMGL0263.jpg)
SERIKALI YA JAPAN YAIPATIA MSAADA WA DOLA LAKI 1.4 HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI
![](http://4.bp.blogspot.com/-BjvCCF7JMcM/VPnYKreLALI/AAAAAAAHIGE/W68F47Wo_xY/s1600/MMGL0263.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MWANGA APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA TAASISI YA DK MSUYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMUyNNQOEv4/XrqGIATjvzI/AAAAAAALp5o/dcrgPqnFaJ43OA0C9XhV7uAdLUBtt8UvgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.01.56%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jaezRZsZG5M/XrqGIXD_QVI/AAAAAAALp5s/CjCNy-Po5ykgCQMAV38Oun7qliZra1NewCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.03.00%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DTWj1YVVI-I/VMUP4SfDlMI/AAAAAAAG_b8/ayiEyEm_2xo/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya Bibi Ester Makalili akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya hiyo kutoa mafunzo ya Ujasiriamali, Stadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-DTWj1YVVI-I/VMUP4SfDlMI/AAAAAAAG_b8/ayiEyEm_2xo/s1600/Pix%2B1.jpg)