TFS YAADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI MITI KITAIFA KWA KUGAWA BURE MICHE YA MITI KWA WAKAZI WA DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-SR7L5mjyzUI/XoS5_v2HAVI/AAAAAAALl0Q/kwBpgTKvkusLrilPtLxP5v5t_j_dwsVNwCLcBGAsYHQ/s72-c/7a0150c6-ad7f-4891-ae25-d8ec831c3923.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
KATIKA kuepuka mikusanyiko kama sehemu ya kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19(Corona) , Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)umeamua kuadhimisha kilele cha siku ya upandaji miti kitaifa kwa kugawa miche ya miti kwa wananchi.
TFS imegawa miche hiyo ya miti ya aina mbalimbali leo Aprili 1, mwaka 2020 jijini Dar es Salaam huku ikitoa rai kwa wananchi wa Dar es Salaam,Tanga na Pwani kutumia kipindi hiki cha mvua za masika kupanda miti kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MKOA WA KAGERA WAADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA WILAYANI ‘MISSENYI MISITU NI MALI PANDA MITI'
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Maadhimisho hayo yaliyoongozwa na mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Celestine Gesimba kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo maadhimisho hayo yalianzia katika Kijiji cha Bugolola eneo la...
10 years ago
GPLKINONDONI MWENYEJI WA SIKU YA UPANDAJI MITI MKOA WA DAR ES SALAAM KESHO
11 years ago
MichuziWIZARA YA UCHUKUZI YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI YA KUZUIA MMOMOMYOKO WA ARDHI KWENYE ENEO LA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI KITAIFA,MJINI UNGUJA
9 years ago
MichuziTANGA CEMENT YATOA SOMO LA UPANDAJI MITI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI YA ROSMINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-WQMyrYPqVsk/VdsT0hMSpiI/AAAAAAAHznY/tVUywX7hln0/s640/02.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200606_141353_252.jpg)
SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200606_141353_252.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rqIjIWlmqcw/XtuBVilK_LI/AAAAAAAAH9c/4mptZeLzG88dl51AffPZBbaV1noRIp-AwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200604_110247.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wizara ya Uchukuzi yaadhimisha wiki ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi na kupanda Miti Bandarini
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam jana, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Mazingira. Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanafanyika kitaifa mkoani Mwanza ambapo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa Nchasi, akifanya usafi katika eneo...