SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200606_141353_252.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SR7L5mjyzUI/XoS5_v2HAVI/AAAAAAALl0Q/kwBpgTKvkusLrilPtLxP5v5t_j_dwsVNwCLcBGAsYHQ/s72-c/7a0150c6-ad7f-4891-ae25-d8ec831c3923.jpg)
TFS YAADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI MITI KITAIFA KWA KUGAWA BURE MICHE YA MITI KWA WAKAZI WA DAR
KATIKA kuepuka mikusanyiko kama sehemu ya kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa COVID-19(Corona) , Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)umeamua kuadhimisha kilele cha siku ya upandaji miti kitaifa kwa kugawa miche ya miti kwa wananchi.
TFS imegawa miche hiyo ya miti ya aina mbalimbali leo Aprili 1, mwaka 2020 jijini Dar es Salaam huku ikitoa rai kwa wananchi wa Dar es Salaam,Tanga na Pwani kutumia kipindi hiki cha mvua za masika kupanda miti kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mZhfCp-JlLc/U9CxiXlSt_I/AAAAAAAF5dA/MOCSU7dCycQ/s72-c/Ukaguzi+1.jpg)
WAHANDISI TANESCO WATEMBELEA KIWANDA CHA SAO HILL KWA MAFUNZO KWA VITENDO JUU UKAGUZI WA UBORA WA NGUZO
Ziara ya wahandisi hao wa TANESCO inalenga katika kuwawezesha katika kukabiliana na matumizi ya nguzo zisizo na ubora na ili kuongeza ufanisi na usalama katika zoezi la kusambaza umeme nchini.
Wahandisi hao wamepata fursa ya kutembela kiwanda cha Sao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HBESeN-Jm_g/XmfIhwNLx4I/AAAAAAAAHrk/9-eUABRMyPoulbdWYvA_DxoVgE270DKtACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TFS SAO HILL:WADAU TUSAIDIE WATOTO YATIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HBESeN-Jm_g/XmfIhwNLx4I/AAAAAAAAHrk/9-eUABRMyPoulbdWYvA_DxoVgE270DKtACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-698UE1RCEzU/XmfIhVJ5lgI/AAAAAAAAHrg/gPbkkmyUbukZXN0Lx0PuCZPRr2fd0ImfACLcBGAsYHQ/s640/02.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-O0GUzflNfXo/XmfIh5Pd1NI/AAAAAAAAHro/ruKoNn8XyAQW20axLx5oyhwWPbtDzcwCQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Naa Fredy Mgunda, MfindiWADAU mbalimbali wametakiwa kuendelea kuwachangia na kuwakumbuka Watoto wenye mahitaji maalumu na yatima kwa lengo la kuwafariji kwa kuwasaidia kupata mahitaji yao muhimu kama ambavyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bF_OshTqA1M/XsREtT_dEaI/AAAAAAAAH6c/weV4bByB2tYkxWatWLKLlIe8OB9tOVskACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-19%2Bat%2B08.35.52.jpeg)
SAO HILL: MAZIWA YA NYUKI YANA KINGA YA BINAADAM KUZEEKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bF_OshTqA1M/XsREtT_dEaI/AAAAAAAAH6c/weV4bByB2tYkxWatWLKLlIe8OB9tOVskACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-19%2Bat%2B08.35.52.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XcMDXSH2Gcc/XsRErzDQHQI/AAAAAAAAH6M/h1kPuXt_SiUzsi-rNGm4fQFR9J5HC4-bACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-19%2Bat%2B08.35.42.jpeg)
Mhifadhi wa shamba la Miti la Sao Hill kitengo cha Nyuki Wilayani Mufindi Said Abubakari moja kati ya mazao ya Nyuki katika shamba la miti la serikali ao Hill
![](https://1.bp.blogspot.com/-iR8BkPKX60o/XsREsE7DYMI/AAAAAAAAH6U/lDwjvbl6USkgXqFQHoksEV56L_Q_pPprQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-19%2Bat%2B08.35.43.jpeg)
Wavunaji wa mazo ya Nyuki katika shambva la miti la miti sao Hill Wilayani Mufindi
![](https://1.bp.blogspot.com/-JIN4D8KQSnc/XsREsHsviUI/AAAAAAAAH6Q/6382xkCWVdsr-sZ9FhOIv4tziX2w7utTQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-19%2Bat%2B08.35.44.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aQBMwnGVYeE/XsREhlwkPAI/AAAAAAAAH6I/3bkcRP6oRLM6Xozt2GwHZJTBx52M4JW9QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-19%2Bat%2B08.35.45.jpeg)
Baadhi ya waandishi mkoani Iringa wakifuatia zoezi la ufunaji wa mazao ya mdudu Nyuki
NA FREDY MGUNDA,MUFINDI.
WAKALA wa huduma za misitu Tanzania TFS kupitia shamba la miti la Sao hill Mkoani Iringa wanatarajia kuanzisha Mpango maalumu wa uvunaji wa sumu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kw_VgCDymzA/VYvHH5GzRjI/AAAAAAAAFIM/kLEveJJ16_A/s72-c/bustani%2Bya%2Bmiti.jpg)
GRL YAGAWA MCHE YA MITI MILIONI TANO KWA WANANCHI WA MABAONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-kw_VgCDymzA/VYvHH5GzRjI/AAAAAAAAFIM/kLEveJJ16_A/s640/bustani%2Bya%2Bmiti.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lWRGohFnxVY/VYvHHouid-I/AAAAAAAAFII/QRD-C5DRgi4/s640/funguo.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s72-c/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
SAOHILL WAGAWA MICHE MILIONI MOJA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s640/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J6ipgBjccHI/XlfsYEHWH5I/AAAAAAAAHoY/q7Ca4NqcE3sM51hoNahiqFxEJ2HEapQawCLcBGAsYHQ/s640/87818143_1094711437554114_7159007477890023424_n.jpg)
NA FREDY MGUNDA,SAO HILL.
ZAIDI ya miche milioni moja imegawiwa kwa wananchi wa vijiji vinavyolizunguka shamba la Miti SaoHill katika musimu wa mwaka wa 2019/2020 kwa lengo la kuimalisha ujirani mwema ambao umekuwa umedumu kwa miaka mingi.
Zoezi la ugawaji miche ya miti kwa ajili ya ujirani mwema hufanyika kila mwaka kipindi cha masika kwa lengo la kuhakikisha wanapanda miti hiyo na inakuwa kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aE5gaKOGBww/XsfeQ7lkgXI/AAAAAAALrSo/eAbqGqRaCNsvpLpGeE4ZzW1lfyGo1r6VQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200521-WA0324.jpg)
MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI APOKEA MICHE 500 YA MITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aE5gaKOGBww/XsfeQ7lkgXI/AAAAAAALrSo/eAbqGqRaCNsvpLpGeE4ZzW1lfyGo1r6VQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200521-WA0324.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XKj-9Mr8kKs/XsfeRoiVsTI/AAAAAAALrSw/qQwJV6cGznQsYWnp7X1-5PxEyGbnUD62wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200521-WA0325.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Anderson Ulaya jana amepokea miche 500 ya miti kutoka katika...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
‘Tunzeni mazingira kwa kupanda miti’
MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sofia Mjema, amewahimiza wananchi kushirikiana katika upandaji miti, ili kuzuia mmomonyoko wa ardhi, kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Mjema...
5 years ago
Michuzi![](https://3.bp.blogspot.com/-6gULUYkSJoM/XtDZwNpAE3I/AAAAAAAAQvg/iFr-XcnqX8k1IhQmQ-8a1hhuHJksueX2ACK4BGAYYCw/s72-c/IMG-20200529-WA0029%2B%25281%2529.jpg)
WILAYA YA MONDULI YAPOKEA MICHE 500 YA MITI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI
Vero Ignatus.
Mamlaka ya Misitu wilaya ya Monduli (TFS) imekabidhiwa Miche ya miti zaidi 500 ili kupambana na mabadiliko ya Tabia Nchi kutoka Mradi wa Tunandoto Tanzania Ulio chini ya Kanisa la FPCT.
Akikabidhi miti hiyo Mkurugenzi wa wilaya hiyo Stephen Ulaya amesema amekabidhi miche hiyo kwa Mamlaka ya Misitu Tanzania (TFS) wilaya ya Monduli ili kuelekeza miche hiyo katika maeneo yenye uhitaji ndani ya wilaya hiyo.
Ulaya amesema miche hiyo ya Miti wamepokea kutoka Mradi wa Tunandoto ulio...