‘Tunzeni mazingira kwa kupanda miti’
MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sofia Mjema, amewahimiza wananchi kushirikiana katika upandaji miti, ili kuzuia mmomonyoko wa ardhi, kwani kwa kufanya hivyo kutasaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Mjema...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wizara ya Uchukuzi yaadhimisha wiki ya Mazingira Duniani kwa kufanya usafi na kupanda Miti Bandarini
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira wa Wizara ya Uchukuzi, Bi, Tumpe Mwaijande (kulia), akipanda mti katika eneo la bandari ya Dar es Salaam jana, kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Mazingira. Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira yanafanyika kitaifa mkoani Mwanza ambapo kwa mwaka huu kauli mbiu ni ‘Tunza mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Tanzania’.
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wizara ya Uchukuzi, Bw. Issa Nchasi, akifanya usafi katika eneo...
11 years ago
MichuziWIZARA YA UCHUKUZI YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI YA KUZUIA MMOMOMYOKO WA ARDHI KWENYE ENEO LA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUPANDA MITI KATIKA KAMBI YA KIKOSI CHA JESHI LA KUJENGA TAIFA RUVU
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuozqqwOTJc/U4nudhZ76RI/AAAAAAAFmv4/tEGX310zyWY/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wObjwprniHs/U4nues3y6kI/AAAAAAAFmwE/xxppuJD0f3c/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MKOA WA KAGERA WAADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA WILAYANI ‘MISSENYI MISITU NI MALI PANDA MITI'
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Maadhimisho hayo yaliyoongozwa na mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Celestine Gesimba kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo maadhimisho hayo yalianzia katika Kijiji cha Bugolola eneo la...
9 years ago
MichuziUmoja wa Mataifa waanza maadhimisho ya miaka 70 kwa kupanda miti Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro
10 years ago
Habarileo17 Aug
Jamii yaaswa kupanda miti
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Solar Oven Society Africa limetaka jamii kupanda miti kwa wingi katika maeneo yao ili kulinda na kuhifadhi mazingira na kuepusha nchi kugeuka jangwa.
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Wananchi wahimizwa kupanda miti
MKUU wa Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewataka wananchi wa wilaya hiyo kujenga tabia ya kupanda miti na kutunza mazingira kwa lengo la kukabiliana na changamoto za mabadiliko...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200606_141353_252.jpg)
SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200606_141353_252.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rqIjIWlmqcw/XtuBVilK_LI/AAAAAAAAH9c/4mptZeLzG88dl51AffPZBbaV1noRIp-AwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200604_110247.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...