Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAOHILL WAGAWA MICHE MILIONI MOJA KWA WANANCHI

Wananchi wakiendelea kuchukua miche ya miti kutoka Tarafa ya Nne ya Shamba la Miti SaoHill - Mgololo.



NA FREDY MGUNDA,SAO HILL.

ZAIDI ya miche milioni moja imegawiwa kwa wananchi wa vijiji vinavyolizunguka shamba la Miti SaoHill katika musimu wa mwaka wa 2019/2020 kwa lengo la kuimalisha ujirani mwema ambao umekuwa umedumu kwa miaka mingi.

Zoezi la ugawaji miche ya miti kwa ajili ya ujirani mwema hufanyika kila mwaka kipindi cha masika kwa lengo la kuhakikisha wanapanda miti hiyo na inakuwa kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.


Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.


NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...

 

10 years ago

Habarileo

Zanzibar kuotesha miche ya karafuu milioni 1

JUMLA ya mikarafuu milioni 1 inatazamiwa kuoteshwa kwa mwaka katika vitalu vya Serikali vya Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka na kusambazwa bure kwa wakulima wa lengo la kuimarisha zao hilo kuendelea kuwa tegemeo la taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wagawiwa miche milioni tatu ya kahawa

Kampuni ya uwekezaji wa kahawa wilayani Songea ya AVIV imetoa miche milioni tatu ya kahawa yenye thamani ya Sh30 milioni kwa vikundi vya wakulima wa vijiji vinne.

 

9 years ago

Global Publishers

Kampuni ya Edosama kutoa madawati milioni moja na nusu bure kwa nchi nzima

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd, Edward Maduhu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu mradi wa kutengeneza madawti hayo na changamoto ya kukwamishwa kwa mradi huo na baadhi ya wafanyabiashara kwa kushirikiana na watendaji wa serikali. Kulia ni Meneja Mwendeshaji wa Shule za St Marys, Didas Mhoja  na Kushoto ni  Mmoja wa Wakurugenzi wa kampuni hiyo, Jonas Mnzava.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Edosama Hardware Ltd,...

 

10 years ago

Michuzi

REX ENERGY KUPELEKA UMEME JUA KWA KAYA MILIONI MOJA NA LAKI TANO NCHINI

Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini amezindua usambazaji wa Teknolojia ya Umeme wa Jua, Rex Energy, inayotarajia kuzifikia kaya milioni moja na nusu kufikia mwaka 2020 kupitia teknolijia mpya ya umeme wa jua wa gharama nafuu.  Akizungumza wakati wa uzinduzi wa teknolojia hiyo mpya inayojulikana kama 3G+ Solar Home System (SHS) iliyobuniwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na ikiwa ni mara ya kwanza kutumika TanzaniaMkurugenzi Mtendaji wa Rex Energy Francis...

 

9 years ago

Michuzi

EFM YAKABIDHI KITITA CHA SH. MILIONI MOJA KWA SHINDI WA SHINDANO LA KUBUNI MANENO YA KANGA

 Meneja  wa Mawasiliano  Efm, Denis Ssebo akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kumpata mshindi wa  shindano la kubuni maneno ya Kanga kupitia kipindi cha UHONDO ambacho huruka hewani kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa sita mchana hadi saa tisa alasiri, kikiwa na Matangazaji mahiri Dina Marios, kikao hicho kimefanika leo jijini Dar es Salaam, katikati ni mshindi wa shindano hilo Sekela Richard na wakulia ni Matangazaji wa Efm  Radio Dina Marios. Matangazaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rex Energy kupeleka umeme jua kwa kaya milioni moja na laki tano nchini

001.ENERGY

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Rex Energy Francis Khibhisa akizungumza wakati wa uzinduzi wa Teknolojia mpya ya umeme jua ya gharama nafuu ijulikanayo kama 3G+Solar Homes System (SHS). Katikati ni Paul Kiwele Naibu  Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini,Mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Solaric Pvt Lt  kutoka Bagladesh Didar Islam.

Na Mwandishi Wetu

Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini amezindua usambazaji wa Teknolojia ya Umeme...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la Etihad lachangisha Dirham Milioni moja kwa ajili ya “We Care Yemen” na shule mbili nchini Kenya

4 Nepal Team

 Dr Khawla Salem Al Saaedi, Mwakilishi wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Umoja wa Wanawake na aAya, akiwazawadia timu kutoka Nepal kwa kushinda michuano ya kimataifa ya mavazi.

6 football teams

Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya wachezaji wa soka.

5 Costume team

Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya washiriki wa michuano ya kimataifa ya mavazi.

1 Soccer team

Shirika la ndege likiwatunuku timu ya soka kutoka Serbia kama bingwa wa michuano ya kombe la dunia la mashirika ya ndege  upande wa soka.

7 Fusion Art Ballet

Abu Dhabi-based...

 

10 years ago

Vijimambo

GRL YAGAWA MCHE YA MITI MILIONI TANO KWA WANANCHI WA MABAONI

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mufindi (DED), Saada Malunde (mwenye hijabu) akipata maelezo kutoka kwa mtaalum wa uzalishaji miche, Prosper Wilbright (pili kulia) ya jinsi Kampuni ya Green Resources Ltd inavyozalisha miche ya miti kitaalamu alipotembelea bustani hiyo ya kuzalisha miche mbalimbali iliyopo katika Kijiji cha Mabaoni wilayani Mufindi, Mkoa wa Iringa jana. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Mabaoni, Sailas Ndenga (kushoto) akipekea funguo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani