SAOHILL WAGAWA MICHE MILIONI MOJA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s72-c/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
Wananchi wakiendelea kuchukua miche ya miti kutoka Tarafa ya Nne ya Shamba la Miti SaoHill - Mgololo.
NA FREDY MGUNDA,SAO HILL.
ZAIDI ya miche milioni moja imegawiwa kwa wananchi wa vijiji vinavyolizunguka shamba la Miti SaoHill katika musimu wa mwaka wa 2019/2020 kwa lengo la kuimalisha ujirani mwema ambao umekuwa umedumu kwa miaka mingi.
Zoezi la ugawaji miche ya miti kwa ajili ya ujirani mwema hufanyika kila mwaka kipindi cha masika kwa lengo la kuhakikisha wanapanda miti hiyo na inakuwa kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200606_141353_252.jpg)
SAO HILL YAGAWA MICHE YA MITI MILLIONI MOJA KWA LENGO LA KUTUNZA MAZINGIRA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L7he47pbsVo/XtuBUu1DfaI/AAAAAAAAH9U/-SgLll6aEkYNoV9w7E2szB8dyDRI6cGIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200606_141353_252.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rqIjIWlmqcw/XtuBVilK_LI/AAAAAAAAH9c/4mptZeLzG88dl51AffPZBbaV1noRIp-AwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200604_110247.jpg)
Mhifadhi mkuu wa Shamba la Miti la Serikali Sao Hill Juma Mwita akiongea na waandishi wa habari akielezea kwa namna gani wanavyofanikiwa kutunza mazingira.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
ZAIDI ya miche ya miti milioni moja hugawiwa kwa wadau na wananchi mbalimbali wa wilaya ya Mufindi kwa lengo la kuendelea kuboresha mazingira ya misitu na wakala...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Zanzibar kuotesha miche ya karafuu milioni 1
JUMLA ya mikarafuu milioni 1 inatazamiwa kuoteshwa kwa mwaka katika vitalu vya Serikali vya Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka na kusambazwa bure kwa wakulima wa lengo la kuimarisha zao hilo kuendelea kuwa tegemeo la taifa.
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Wakulima wagawiwa miche milioni tatu ya kahawa
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Kampuni ya Edosama kutoa madawati milioni moja na nusu bure kwa nchi nzima
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZsNyPKdVwMw/VPXutkY-c_I/AAAAAAAHHWg/VtAX7bHAcOs/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
REX ENERGY KUPELEKA UMEME JUA KWA KAYA MILIONI MOJA NA LAKI TANO NCHINI
9 years ago
MichuziEFM YAKABIDHI KITITA CHA SH. MILIONI MOJA KWA SHINDI WA SHINDANO LA KUBUNI MANENO YA KANGA
10 years ago
Dewji Blog03 Mar
Rex Energy kupeleka umeme jua kwa kaya milioni moja na laki tano nchini
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Rex Energy Francis Khibhisa akizungumza wakati wa uzinduzi wa Teknolojia mpya ya umeme jua ya gharama nafuu ijulikanayo kama 3G+Solar Homes System (SHS). Katikati ni Paul Kiwele Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini,Mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Solaric Pvt Lt kutoka Bagladesh Didar Islam.
Na Mwandishi Wetu
Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini amezindua usambazaji wa Teknolojia ya Umeme...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Shirika la ndege la Etihad lachangisha Dirham Milioni moja kwa ajili ya “We Care Yemen†na shule mbili nchini Kenya
Dr Khawla Salem Al Saaedi, Mwakilishi wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Umoja wa Wanawake na aAya, akiwazawadia timu kutoka Nepal kwa kushinda michuano ya kimataifa ya mavazi.
Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya wachezaji wa soka.
Kamati ya Michezo na Jamii wakiwa na baadhi ya washiriki wa michuano ya kimataifa ya mavazi.
Shirika la ndege likiwatunuku timu ya soka kutoka Serbia kama bingwa wa michuano ya kombe la dunia la mashirika ya ndege upande wa soka.
Abu Dhabi-based...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-kw_VgCDymzA/VYvHH5GzRjI/AAAAAAAAFIM/kLEveJJ16_A/s72-c/bustani%2Bya%2Bmiti.jpg)
GRL YAGAWA MCHE YA MITI MILIONI TANO KWA WANANCHI WA MABAONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-kw_VgCDymzA/VYvHH5GzRjI/AAAAAAAAFIM/kLEveJJ16_A/s640/bustani%2Bya%2Bmiti.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lWRGohFnxVY/VYvHHouid-I/AAAAAAAAFII/QRD-C5DRgi4/s640/funguo.jpg)