Wakulima wagawiwa miche milioni tatu ya kahawa
Kampuni ya uwekezaji wa kahawa wilayani Songea ya AVIV imetoa miche milioni tatu ya kahawa yenye thamani ya Sh30 milioni kwa vikundi vya wakulima wa vijiji vinne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
DC ataka wakulima wauziwe miche ya kahawa
MKUU wa Wilaya ya Moshi, Dk. Ibrahim Msengi, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kutoza pesa kwa miche bora ya kahawa inayotolewa kwa wakulima wa zao hilo badala ya kugawa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s72-c/T2.jpg)
TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s1600/T2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IRKB-fosws8/Xt_30S47bGI/AAAAAAALtQM/CMSotMtAZTUIRI2kmC8WZcJEC5WtJ51DQCLcBGAsYHQ/s1600/T1.jpg)
Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....
10 years ago
Habarileo31 Dec
Zanzibar kuotesha miche ya karafuu milioni 1
JUMLA ya mikarafuu milioni 1 inatazamiwa kuoteshwa kwa mwaka katika vitalu vya Serikali vya Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka na kusambazwa bure kwa wakulima wa lengo la kuimarisha zao hilo kuendelea kuwa tegemeo la taifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s72-c/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
SAOHILL WAGAWA MICHE MILIONI MOJA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s640/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J6ipgBjccHI/XlfsYEHWH5I/AAAAAAAAHoY/q7Ca4NqcE3sM51hoNahiqFxEJ2HEapQawCLcBGAsYHQ/s640/87818143_1094711437554114_7159007477890023424_n.jpg)
NA FREDY MGUNDA,SAO HILL.
ZAIDI ya miche milioni moja imegawiwa kwa wananchi wa vijiji vinavyolizunguka shamba la Miti SaoHill katika musimu wa mwaka wa 2019/2020 kwa lengo la kuimalisha ujirani mwema ambao umekuwa umedumu kwa miaka mingi.
Zoezi la ugawaji miche ya miti kwa ajili ya ujirani mwema hufanyika kila mwaka kipindi cha masika kwa lengo la kuhakikisha wanapanda miti hiyo na inakuwa kwa...
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Wakulima wa kahawa kunufaika
11 years ago
Habarileo28 Apr
NSSF kukopesha wakulima wa kahawa
WAKULIMA za zao la Kahawa wanatarajia kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Kilimanjaro, kuboresha zao hilo, ambalo limekumbwa na changamoto mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Wakulima kahawa hawatalipwa fidia
SERIKALI imesema haina mpango wa kuwalipa fidia ya hasara inayotokana na mdororo wa uchumi kwa wakulima wa kahawa walio chini ya Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KNCU) kama...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Wakulima Muleba waruhusiwa kusafirisha kahawa
WAKULIMA na wanunuzi wa zao la kahawa katika Kata ya Nshamba, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wameruhusiwa kusafirisha zao hilo kwenda sehemu yoyote ndani ya wilaya hiyo, ikiwa ni pamoja...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Umoja wakulima wa Kahawa mbioni kusajiliwa
UMOJA wa Wakulima wa Kahawa (Aba Kamo Coffee Growers Association), tarafa ya Kamachumu, wilayani Muleba, Kagera, umesema upo katika hatua za mwisho kusajili umoja huo, ili uweze kunufaika na zao...