Zanzibar kuotesha miche ya karafuu milioni 1
JUMLA ya mikarafuu milioni 1 inatazamiwa kuoteshwa kwa mwaka katika vitalu vya Serikali vya Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka na kusambazwa bure kwa wakulima wa lengo la kuimarisha zao hilo kuendelea kuwa tegemeo la taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Apr
Miche 500,000 ya karafuu yapandwa
ZAIDI ya miche ya mikarafuu 500,000 imepandwa Unguja na Pemba katika kipindi cha mvua za masika, zinazoendelea kunyesha nchini kote.
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Wakulima wagawiwa miche milioni tatu ya kahawa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s72-c/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
SAOHILL WAGAWA MICHE MILIONI MOJA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AAGz-Go9N28/XlgrA_5pGZI/AAAAAAALfvE/hQbb8FKvZc8KNRB4BBbYSdC2YZdG_Tn1wCLcBGAsYHQ/s640/88080157_1094712217554036_1932203347205423104_n.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J6ipgBjccHI/XlfsYEHWH5I/AAAAAAAAHoY/q7Ca4NqcE3sM51hoNahiqFxEJ2HEapQawCLcBGAsYHQ/s640/87818143_1094711437554114_7159007477890023424_n.jpg)
NA FREDY MGUNDA,SAO HILL.
ZAIDI ya miche milioni moja imegawiwa kwa wananchi wa vijiji vinavyolizunguka shamba la Miti SaoHill katika musimu wa mwaka wa 2019/2020 kwa lengo la kuimalisha ujirani mwema ambao umekuwa umedumu kwa miaka mingi.
Zoezi la ugawaji miche ya miti kwa ajili ya ujirani mwema hufanyika kila mwaka kipindi cha masika kwa lengo la kuhakikisha wanapanda miti hiyo na inakuwa kwa...
9 years ago
VijimamboRais wa Zanzibar Dk Shein Azindua Mfuko wa Maendeleo ya Zao la Karafuu Zanzibar
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Karafuu ya Zanzibar yazidi kupata umaarufu
MSHAURI wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar, Sadruddin Govinji, amesema karafuu ya Zanzibar imeendelea kupata umaarufu katika soko la Dunia kutokana na sifa zake za kipekee zenye ubora. Akiwasilisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s72-c/unnamed+(10).jpg)
ZSTC yastawisha upya zao la karafuu, Zanzibar.
![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s1600/unnamed+(10).jpg)
Zanzibar ni visiwa vinavyosifika kwa uzalishaji wa karafuu bora duniani. Katika miaka 30 ya nyuma pia ilisifika kwa uzalishaji karafuu nyingi, wastani wa tani 8,605 zilikuwa zikizalishwa kwa mwaka.
Jamii ya wakati huo walikuwa wakizijali, wakizithamini na wakizipenda sana karafuu ukilinganisha na kizazi cha sasa. Walihakikisha karafuu zao wakiuza vituoni tena zinakuwa safi, zimekauka vizuri na zinapata daraja la kwanza.
Katika miaka hiyo zao la karafuu lilikuwa ndiyo tegemeo kubwa la pato...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
ZSTC na jitihada za kuinua wakulima wa karafuu Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7rbVGi8fN1o/Vmak6Mgol_I/AAAAAAAIK28/fwRt6OHp3mo/s72-c/IMG_5263.jpg)
MAKALA: Zao la Karafuu laweza kuwa uti wa mgongo wa Uchumi Zanzibar
Kuimarisha Zao la Karafuu ni sawa na kuimarisha Uchumi na Maendeleo ya nchi, jitihada za Wadau ni muihimu ili kufika lengo la Serikali la kuifanya Sekta ya Zao la Karafuu kuwa uti wa mgongo wa Uchumi liweze kufikiwa.
Kutokana na umuhimu wa Sekta ya Karafuu kwa Maendeleo ya Uchumi Serikali imefanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo kwa lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa Wakulima na Taifa kwa jumla.
Katika utekelezaji wa Mageuzi hayo yaliyoanza mwaka...
9 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AKABIDHI HUNDI KWAAJILI YA KUFIDIA WACHUMAJI WA KARAFUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-akTXyV3NpaU/Ve7TGoEufXI/AAAAAAAH3V8/rOv0c0N_FWo/s640/2-1.jpg)