ZSTC na jitihada za kuinua wakulima wa karafuu Zanzibar
.jpg)
SHIRIKA la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) ni Shirika la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar lililoanzishwa mwaka 1968 kwa madhumuni ya kununua na kuuza mazao ya wakulima kama vile karafuu, mbata, makonyo, pilipili hoho, makombe na mwani.Shirika hilo tokea wakati huo wa miaka ya sitini limekuwa likitimiza wajibu huo na majukumu mengine iliyopewa na Serikali kwa ufanisi na kwa uwazi ili kutoa huduma nzuri kwa wakulima na wauzaji wa mazao hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yaliwapatia wananchi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wakulima uzeni karafuu ZSTC
ZANZIBAR ina visiwa vya Unguja na Pemba. Wakazi wake wanajishughulisha na uvuvi, ufugaji na wengine wamejielekeza katika kilimo cha karafuu. Karafuu ambayo ni muhimu katika kukuza uchumi, hivi sasa imepanda...
11 years ago
Michuzi.jpg)
ZSTC yastawisha upya zao la karafuu, Zanzibar.
.jpg)
Zanzibar ni visiwa vinavyosifika kwa uzalishaji wa karafuu bora duniani. Katika miaka 30 ya nyuma pia ilisifika kwa uzalishaji karafuu nyingi, wastani wa tani 8,605 zilikuwa zikizalishwa kwa mwaka.
Jamii ya wakati huo walikuwa wakizijali, wakizithamini na wakizipenda sana karafuu ukilinganisha na kizazi cha sasa. Walihakikisha karafuu zao wakiuza vituoni tena zinakuwa safi, zimekauka vizuri na zinapata daraja la kwanza.
Katika miaka hiyo zao la karafuu lilikuwa ndiyo tegemeo kubwa la pato...
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Jitihada za AU kuinua maslahi ya wanawake
10 years ago
Michuzi
ZSTC LAENDELEZA MIKUTANO YAKE KWA WAKULIMA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kilio cha wakulima wa Karafuu Pemba
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wakulima wa karafuu,Pemba waomba msaada
10 years ago
VijimamboRais wa Zanzibar Dk Shein Azindua Mfuko wa Maendeleo ya Zao la Karafuu Zanzibar
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Serikali kuinua wakulima wanawake
11 years ago
Mwananchi08 Feb
SBL yapania kuinua wakulima nchini