Wakulima uzeni karafuu ZSTC
ZANZIBAR ina visiwa vya Unguja na Pemba. Wakazi wake wanajishughulisha na uvuvi, ufugaji na wengine wamejielekeza katika kilimo cha karafuu. Karafuu ambayo ni muhimu katika kukuza uchumi, hivi sasa imepanda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
ZSTC na jitihada za kuinua wakulima wa karafuu Zanzibar
SHIRIKA la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) ni Shirika la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar lililoanzishwa mwaka 1968 kwa madhumuni ya kununua na kuuza mazao ya wakulima kama vile karafuu, mbata, makonyo, pilipili hoho, makombe na mwani.
Shirika hilo tokea wakati huo wa miaka ya sitini limekuwa likitimiza wajibu huo na majukumu mengine iliyopewa na Serikali kwa ufanisi na kwa uwazi ili kutoa huduma nzuri kwa wakulima na wauzaji wa mazao hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yaliwapatia wananchi wa...
![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s72-c/unnamed+(10).jpg)
ZSTC yastawisha upya zao la karafuu, Zanzibar.
![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s1600/unnamed+(10).jpg)
Zanzibar ni visiwa vinavyosifika kwa uzalishaji wa karafuu bora duniani. Katika miaka 30 ya nyuma pia ilisifika kwa uzalishaji karafuu nyingi, wastani wa tani 8,605 zilikuwa zikizalishwa kwa mwaka.
Jamii ya wakati huo walikuwa wakizijali, wakizithamini na wakizipenda sana karafuu ukilinganisha na kizazi cha sasa. Walihakikisha karafuu zao wakiuza vituoni tena zinakuwa safi, zimekauka vizuri na zinapata daraja la kwanza.
Katika miaka hiyo zao la karafuu lilikuwa ndiyo tegemeo kubwa la pato...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TU3miTuURqA/VZBVTyF9bEI/AAAAAAAHlRs/1MVgen2owao/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
ZSTC LAENDELEZA MIKUTANO YAKE KWA WAKULIMA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA
Na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar Wakulima wa zao la Karafuu wametakiwa kuacha tabia ya kuchukua Miche mingi ya Zao hilo ambayo wanashindwa kuishughulikia ipasavyo, kwani kwa kufanya hivyo ni kurudisha Juhudi zinazofanywa na Serikali katika kuliimarisha zao hilo kwani Miche hiyo inagharimu kiasi kikubwa cha Pesa za kuitunza. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) Mwanahija Almas alipokuwa akizungumza na Wakulima wa Zao la Karafuu wa...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wakulima wa karafuu,Pemba waomba msaada
Wakulima Pemba wanaitaka Serikali yao kufanya juhudi kwa ajili ya kuendeleza zao ambalo wamekuwa wakizalisha kwa miaka mingi.
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kilio cha wakulima wa Karafuu Pemba
Wakulima wa karafuu sasa wanasema wanahitaji serikali yao kuwasaidia zaidi ili kuweza kuendeleza kilimo cha zao hilo walilolima kwa miaka mingi.
9 years ago
VijimamboHafla ya kuwaaga wafanyakazi wastaafu wa ZSTC, Chakechake, Pemba
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Karafuu ya magendo yakamatwa
 Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM)Kisiwani Pemba kimefanikiwa kukamata magunia 34 ya karafuu kavu yaliyokuwa katika harakati ya kusafirishwa kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye, wakulima wadogo 21,000 walio katika vikundi 89 vya ushirika katika Kata ya Igomaa, mkoani Iringa keshokutwa wanatarajiwa kupatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shbilioni 1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) nchini kwa ajili ya maendeleo ya shghuli zao za kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi wa Mikopo na Usimamizi wa Biashara wa benki hiyo, Robert Pascal alisema maandalizi kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s72-c/20150812_104658.jpg)
KARAFUU ZA MAGENDO ZAKAMATWA MTAMBWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s640/20150812_104658.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-THZQV1GgTxc/VcwlGM1v93I/AAAAAAAB4yI/4eQuRxoCpq8/s640/20150812_105029.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania