Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARAFUU ZA MAGENDO ZAKAMATWA MTAMBWE

Afisa mdhamini wa ZSTC Pemba Bw Abdulla Ali Ussi akitoa maelezo baada Magunia ya Karafuu Kavu zilizokamatwa na Kikosi chake huko katika Ufukwe wa Bahari ya Chanjaani Mtambwe , ambazo zilikuwa katika harakati ya kutaka kusafirishwa kwa njia ya Magendo., Anaemsikiliza ni Kamanda wa KMKM Zone ya Pemba, Silima Hija Hija,Kamanda wa KMKM Zone ya Pemba, Silima Hija Hija, akionesha Magunia ya Karafuu Kavu zilizokamatwa na Kikosi chake huko katika Ufukwe wa Bahari ya Chanjaani Mtambwe , ambazo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Shehena za magendo zakamatwa Sirari

MAOFISA wa Kituo cha Forodha cha Sirari na wenzao wa kodi za ndani wamekamata magari matatu yenye shehena ya mali za magendo, zinazodaiwa kuingizwa nchini kwa njia za panya kutoka Kenya bila kulipiwa ushuru.

 

11 years ago

Mwananchi

Karafuu ya magendo yakamatwa

 Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM)Kisiwani Pemba kimefanikiwa kukamata magunia 34 ya karafuu kavu yaliyokuwa katika harakati ya kusafirishwa kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo.

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa CUF Mtambwe

 Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wafuasi wa Chama hicho katika viwanja vya Uondwe Mtambwe.  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.

  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.  Wafuasi na wapenzi wa CUF walifuatilia mkutano huo katika viwanja vya Uondwe.  Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi...

 

9 years ago

GPL

MGOMBEA WA URAIS WA CCM DK SHEIN AWAHUTUBIA WANANCHI WA MTAMBWE

Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Mtambwe wakati wa mkutano wake wa kampeni kisiwani Pemba uliofanyika katika viwanja vya makoongeni mtambwe na kuhudhuria na wananchi wengi wa jimbo hilo. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mhe Mohammed Aboud Mohammed akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Mtambwe na kutowa Sifa...

 

11 years ago

Habarileo

Katoni 138 za maziwa zakamatwa

KATONI 138 za maziwa ya unga ya kopo aina ya Nura kutoka Oman, yamekamatwa yakiingizwa nchini kupitia njia za panya wilayani Tarime.

 

11 years ago

Habarileo

Kilo 65 za cocaine zakamatwa KIA

DAWA za kulevya aina ya cocaine zaidi ya kilo 65, zimekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwaka jana. Mbali ya kukamatwa kwa dawa hizo katika kipindi hicho cha mwaka mmoja, pia wafanyakazi wa uwanja huo wa Kampuni ya Kadco, walikamatwa na bangi yenye uzito wa kilo 7.7 iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nchini Uturuki.

 

9 years ago

Michuzi

Balozi seif ali iddi azindua maskani kijijini kinazini, Mtambwe Kusini

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Chama hicho kiko makini katika kumuengua Mwanachama wake ye yote anayetumia hila katika mchakato wa kutaka achaguliwe kuwa Kiongozi kupitia chama hicho. Kauli hiyo aliitoa wakati akizungumza na Vijana walioamua kutoka chama cha Upinzani na kujiunga na CCM ambapo wameanzisha Maskani iliyopewa jina la Balozi Seif Maskani hapo katika Kijiji cha Kinazini Mtambwe Kusini. Balozi Seif ambae alipata wasaa wa...

 

10 years ago

StarTV

Shehena ya mizigo zakamatwa kwenye makontena.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es Salaam.

 

Shehena ya mizigo mbalimbali zimekamatwa kwenye makontena yenye thamani ya shilingi milioni 300 katika ukaguzi wa kushtukiza uliofanyika kwenye Bandari Kavu ya jijini Dar es Salaam.

 

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiongozana na Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamefanya ukaguzi huo baada ya Serikali kubaini ongezeko la wafanyabishara wanaokwepa kodi kupitia udanganyifu wa bidhaa zinazoingizwa nchini.

 

Akizungumza mara baada ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Mali za Hospitali ya AMI zakamatwa na dalali

Pg 1Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
DALALI wa Mahakama, MEM Auctioneers and General Brokers Ltd, jana alikamata na kuondoa mali za Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Centre iliyoko Msasani Dar es Salaam, kutokana na kudaiwa kodi ya pango ya zaidi ya Sh bilioni tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo mwakilishi wa kampuni hiyo ya udalali, Elieza Mbwambo, alisema kiasi hicho ni kodi ya pango ya zaidi ya miezi 26 kinachodaiwa na mmiliki wa jengo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani