KARAFUU ZA MAGENDO ZAKAMATWA MTAMBWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s72-c/20150812_104658.jpg)
Afisa mdhamini wa ZSTC Pemba Bw Abdulla Ali Ussi akitoa maelezo baada Magunia ya Karafuu Kavu zilizokamatwa na Kikosi chake huko katika Ufukwe wa Bahari ya Chanjaani Mtambwe , ambazo zilikuwa katika harakati ya kutaka kusafirishwa kwa njia ya Magendo., Anaemsikiliza ni Kamanda wa KMKM Zone ya Pemba, Silima Hija Hija,
Kamanda wa KMKM Zone ya Pemba, Silima Hija Hija, akionesha Magunia ya Karafuu Kavu zilizokamatwa na Kikosi chake huko katika Ufukwe wa Bahari ya Chanjaani Mtambwe , ambazo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Mar
Shehena za magendo zakamatwa Sirari
MAOFISA wa Kituo cha Forodha cha Sirari na wenzao wa kodi za ndani wamekamata magari matatu yenye shehena ya mali za magendo, zinazodaiwa kuingizwa nchini kwa njia za panya kutoka Kenya bila kulipiwa ushuru.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Karafuu ya magendo yakamatwa
9 years ago
VijimamboMkutano wa CUF Mtambwe
9 years ago
GPLMGOMBEA WA URAIS WA CCM DK SHEIN AWAHUTUBIA WANANCHI WA MTAMBWE
11 years ago
Habarileo05 Mar
Katoni 138 za maziwa zakamatwa
KATONI 138 za maziwa ya unga ya kopo aina ya Nura kutoka Oman, yamekamatwa yakiingizwa nchini kupitia njia za panya wilayani Tarime.
11 years ago
Habarileo09 Jan
Kilo 65 za cocaine zakamatwa KIA
DAWA za kulevya aina ya cocaine zaidi ya kilo 65, zimekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwaka jana. Mbali ya kukamatwa kwa dawa hizo katika kipindi hicho cha mwaka mmoja, pia wafanyakazi wa uwanja huo wa Kampuni ya Kadco, walikamatwa na bangi yenye uzito wa kilo 7.7 iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nchini Uturuki.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BcLZgrr8OdI/VdTYW1tngMI/AAAAAAAHyTg/uscZ0-EfIx0/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Balozi seif ali iddi azindua maskani kijijini kinazini, Mtambwe Kusini
10 years ago
StarTV01 Apr
Shehena ya mizigo zakamatwa kwenye makontena.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Shehena ya mizigo mbalimbali zimekamatwa kwenye makontena yenye thamani ya shilingi milioni 300 katika ukaguzi wa kushtukiza uliofanyika kwenye Bandari Kavu ya jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiongozana na Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamefanya ukaguzi huo baada ya Serikali kubaini ongezeko la wafanyabishara wanaokwepa kodi kupitia udanganyifu wa bidhaa zinazoingizwa nchini.
Akizungumza mara baada ya...
10 years ago
Mtanzania15 May
Mali za Hospitali ya AMI zakamatwa na dalali
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
DALALI wa Mahakama, MEM Auctioneers and General Brokers Ltd, jana alikamata na kuondoa mali za Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Centre iliyoko Msasani Dar es Salaam, kutokana na kudaiwa kodi ya pango ya zaidi ya Sh bilioni tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo mwakilishi wa kampuni hiyo ya udalali, Elieza Mbwambo, alisema kiasi hicho ni kodi ya pango ya zaidi ya miezi 26 kinachodaiwa na mmiliki wa jengo...