Shehena za magendo zakamatwa Sirari
MAOFISA wa Kituo cha Forodha cha Sirari na wenzao wa kodi za ndani wamekamata magari matatu yenye shehena ya mali za magendo, zinazodaiwa kuingizwa nchini kwa njia za panya kutoka Kenya bila kulipiwa ushuru.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s72-c/20150812_104658.jpg)
KARAFUU ZA MAGENDO ZAKAMATWA MTAMBWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s02tja_Gsic/VcuY9pU9TbI/AAAAAAAB4xA/CZhR3vCmn8s/s640/20150812_104658.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-THZQV1GgTxc/VcwlGM1v93I/AAAAAAAB4yI/4eQuRxoCpq8/s640/20150812_105029.jpg)
10 years ago
StarTV01 Apr
Shehena ya mizigo zakamatwa kwenye makontena.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Shehena ya mizigo mbalimbali zimekamatwa kwenye makontena yenye thamani ya shilingi milioni 300 katika ukaguzi wa kushtukiza uliofanyika kwenye Bandari Kavu ya jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiongozana na Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamefanya ukaguzi huo baada ya Serikali kubaini ongezeko la wafanyabishara wanaokwepa kodi kupitia udanganyifu wa bidhaa zinazoingizwa nchini.
Akizungumza mara baada ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-y6WP6oj2Xps/VU0JMrszMnI/AAAAAAABpxc/vMPJTPren70/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA MISSENYI MH.FADHIL NKURLU AKAMATA SHEHENA LA NGOZI ZA MAGENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-y6WP6oj2Xps/VU0JMrszMnI/AAAAAAABpxc/vMPJTPren70/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-L6fq7NcrN58/VU0JaBNxk-I/AAAAAAABpxk/AfLcBG3EsIA/s640/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 May
DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akamata shehena kubwa ya ngozi ya magendo ikisafirishwa nje
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (kushoto) akimhoji dereva wa lori aliyejitambulisha kama Bw. Kabyemela (mwenye tisheti jekundu) baada ya kuwekewa mtego na kukamatwa na shehena ya ngozi ya magendo iliyokuwa ikisafirishwa kuelekea nchi jirani. Shehena hiyo ilikamatwa katika kizuizi cha Kyaka.
Baadhi ya ngozi ya magendo iliyokamatwa baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kuweka mtego kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama. Shehena hiyo ya ngozi ya magendo inakisiwa kufika uzito...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Polisi wapambana na raia Sirari
POLISI mkoa wa Kipolisi Tarime na Rorya, wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamaji katika katika mji mdogo wa Sirari kupinga mauaji ya kijana Tandeka Ryoba Mserega. Mserega anadaiwa kuuawa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-5oXsk7SxOkg/VgxVnU9YXLI/AAAAAAAD_Ic/XGB4eQ1fNqM/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA APIGA KAMPENI SIRARI MKOANI MARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-5oXsk7SxOkg/VgxVnU9YXLI/AAAAAAAD_Ic/XGB4eQ1fNqM/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8kIG-wQe3h0/VgxVnRDKr7I/AAAAAAAD_Ik/-0lC0hmjkq8/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5JY6Xc7H-Y/VgxVo_pwiGI/AAAAAAAD_I4/J0RMy_WFEJ0/s640/3.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/126.jpg?width=650)
MAMA SAMIA APIGA KAMPENI SIRARI MKOANI MARA LEO
11 years ago
Habarileo05 Mar
Katoni 138 za maziwa zakamatwa
KATONI 138 za maziwa ya unga ya kopo aina ya Nura kutoka Oman, yamekamatwa yakiingizwa nchini kupitia njia za panya wilayani Tarime.
11 years ago
Habarileo09 Jan
Kilo 65 za cocaine zakamatwa KIA
DAWA za kulevya aina ya cocaine zaidi ya kilo 65, zimekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) mwaka jana. Mbali ya kukamatwa kwa dawa hizo katika kipindi hicho cha mwaka mmoja, pia wafanyakazi wa uwanja huo wa Kampuni ya Kadco, walikamatwa na bangi yenye uzito wa kilo 7.7 iliyokuwa ikisafirishwa kwenda nchini Uturuki.