MKUU WA WILAYA MISSENYI MH.FADHIL NKURLU AKAMATA SHEHENA LA NGOZI ZA MAGENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-y6WP6oj2Xps/VU0JMrszMnI/AAAAAAABpxc/vMPJTPren70/s72-c/1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (kushoto) akimhoji dereva wa lori aliyejitambulisha kwa jina la Bw. Kabyemela (mwenye tisheti jekundu) baada ya kuwekewa mtego na kukamatwa na shehena ya ngozi ya magendo iliyokuwa ikisafirishwa kuelekea nchi jirani. Shehena hiyo ilikamatwa katika kizuizi cha Kyaka.
Baadhi ya ngozi ya magendo iliyokamatwa baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kuweka mtego kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama. Shehena hiyo ya ngozi ya magendo inakisiwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 May
DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akamata shehena kubwa ya ngozi ya magendo ikisafirishwa nje
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (kushoto) akimhoji dereva wa lori aliyejitambulisha kama Bw. Kabyemela (mwenye tisheti jekundu) baada ya kuwekewa mtego na kukamatwa na shehena ya ngozi ya magendo iliyokuwa ikisafirishwa kuelekea nchi jirani. Shehena hiyo ilikamatwa katika kizuizi cha Kyaka.
Baadhi ya ngozi ya magendo iliyokamatwa baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kuweka mtego kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama. Shehena hiyo ya ngozi ya magendo inakisiwa kufika uzito...
10 years ago
Dewji Blog06 May
DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu awapatia matibabu ya bure walemavu wa ngozi
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu.
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na wategemezi wao katika vituo vya huduma za afya za serikali na zile binafsi vilivyosajiliwa na mfuko wa afya ya jamii (CHF).
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (wa nne kutoka kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi pamoja na viongozi wa dini na serikali za mitaa...
10 years ago
Habarileo06 Mar
Shehena za magendo zakamatwa Sirari
MAOFISA wa Kituo cha Forodha cha Sirari na wenzao wa kodi za ndani wamekamata magari matatu yenye shehena ya mali za magendo, zinazodaiwa kuingizwa nchini kwa njia za panya kutoka Kenya bila kulipiwa ushuru.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g8Ys_GN_bWg/VXihsQihqfI/AAAAAAAC6Oc/Aio1HHZ5bIg/s72-c/6.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WILAYANI MISSENYI MKOANI KAGERA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-g8Ys_GN_bWg/VXihsQihqfI/AAAAAAAC6Oc/Aio1HHZ5bIg/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-44woMGpKD5k/VXkdTkAfbZI/AAAAAAAC6PI/84e6XQjjD_M/s640/_MG_8156.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yNXnEuEfg5A/VXidNrw6r_I/AAAAAAAC6MY/Fe9PnMgtuFQ/s1600/11.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZaXgVCyG4Y/XmJVtajPNCI/AAAAAAALhhg/Gz7dsheo0FIeu014PH1dnMW5zBJm8iD-wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAFICHUENI WAFANYABIASHARA WA MAGENDO-WAZIRI MKUU
Pia ameiagiza Idara ya Uvuvi wilaya ya Pangani ihakikishe inadhibiti uvuvi haramu wa kutumia mabomu na nyavu zisizo stahili kwa kuwa unahatarisha mazalia ya samaki.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa, Machi 6, 2020) wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Bomani, wilayani...
11 years ago
Michuzi21 Feb
MKUU WA WILAYA YA HAI AAINISHA MAAFA YA WILAYA yake, AOMBA MISAADA YA HALI NA MALI
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya
11 years ago
Mwananchi31 Jan
AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?
11 years ago
Mwananchi01 Aug
AFYA YA NGOZI: Maradhi ya ngozi kwa njia ya ngono