Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu awapatia matibabu ya bure walemavu wa ngozi

1

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu.

2

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na wategemezi wao katika vituo vya huduma za afya za serikali na zile binafsi vilivyosajiliwa na mfuko wa afya ya jamii (CHF).

3

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (wa nne kutoka kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi pamoja na viongozi wa dini na serikali za mitaa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA MISSENYI MH.FADHIL NKURLU AKAMATA SHEHENA LA NGOZI ZA MAGENDO

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (kushoto) akimhoji dereva wa lori aliyejitambulisha kwa jina la Bw. Kabyemela (mwenye tisheti jekundu) baada ya kuwekewa mtego na kukamatwa na shehena ya ngozi ya magendo iliyokuwa ikisafirishwa kuelekea nchi jirani. Shehena hiyo ilikamatwa katika kizuizi cha Kyaka. Baadhi ya ngozi ya magendo iliyokamatwa baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kuweka mtego kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama. Shehena hiyo ya ngozi ya magendo inakisiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akamata shehena kubwa ya ngozi ya magendo ikisafirishwa nje

1

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (kushoto) akimhoji dereva wa lori aliyejitambulisha kama Bw. Kabyemela (mwenye tisheti jekundu) baada ya kuwekewa mtego na kukamatwa na shehena ya ngozi ya magendo iliyokuwa ikisafirishwa kuelekea nchi jirani. Shehena hiyo ilikamatwa katika kizuizi cha Kyaka.

2

Baadhi ya ngozi ya magendo iliyokamatwa baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kuweka mtego kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama. Shehena hiyo ya ngozi ya magendo inakisiwa kufika uzito...

 

10 years ago

Michuzi

DC WA MISSENYI AWAPATIA MATIBABU YA BURE WATU WENYE UALBINO

Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na wategemezi wao katika vituo vya huduma za afya za serikali na zile binafsi vilivyosajiliwa na mfuko wa afya ya jamii (CHF). Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (wa nne kutoka kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi pamoja na viongozi wa dini na serikali za mitaa wilayani Missenyi.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI

 

10 years ago

GPL

JULIETH ATESWA NA WALEMAVU WA NGOZI

Stori: Gladness Mallya MISS Progress International, Julieth William ambaye ni Mkurugenzi wa Progressive Foundation amesema kamwe hawezi kuwasahau walemavu wa ngozi kutokana na mateso wanayopata ya kukatwa viungo na kuuawa ambapo kila wakati huwa anawapatia msaada. Miss Progress International, Julieth William akiwabeba watoto wawili wenye ulemavu wa ngozi. Akizungumza hivi karibuni baada ya kutoa msaada wa vifaa mbalimbali vya...

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO

Viongozi wa vyama vya watu wenye ulemevu wakiwa meza kuu.
Waandishi wa habari wakiwa na walemavu wa ngozi 'Albino'.
Wanahabari wakichukua taarifa za tamko la vyama vya walemavu…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wadau wasaidie Albino kupatiwa matibabu saratani ya ngozi

WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), wamekuwa wakisumbuliwa na maradhi ya ngozi hususan saratani ya ngozi. Maradhi hayo hadi sasa, baadhi ya watu huyachukulia kuwa labda hayana tiba, hiyo inatokana...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NCHI AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI

Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akisikiliza kwa makini hoja kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi Sera Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Joyce Momburi (hayupo pichani) wakati wa Kikao cha Pamoja na Viongozi wa Taasisi ya Watu wenye Ulemavu wa Ngozi (AKUAT)Ofisini kwake Aprili 24, 2015. Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiwa na Viongozi wa Taasisi ya Watu wenye Ulemavu wa Ngozi walipomtembelea...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI

 Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Mussa Jallow (wa tatu kushoto), akikabidhi pikipiki kwa Mwenyekiti wa Chama cha Albino (TAS) Mkoa wa Pwani, Thomas Diwani, katika hafla ambayo NBC ilikabidhi pikipiki tatu, kofia, miwani na mafuta ya ngozi ikiwa ni sehemu ya juhudi za benki hiyo katika kuisaidia jamii. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Kibaha, Pwani jana. Wengine ni baadhi ya wanachama wa TAS na maofisa wa NBC. Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Kibaha, Asia...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mh. Kamani ajenga kituo cha kutunza walemavu wa ngozi

NA PETER KATULANDA, BUSEGA.
VITENDO vya mauaji ya kikatili kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wilayani Busega, vimemsukuma Mbunge wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani, kuanzisha ujenzi wa kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu huo.

Kituo hicho kinachojengwa Kijiji cha Lukungu, Kata ya Lamadi, kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua watoto zaidi ya 100, kitagharimu zaidi ya sh Bilioni 1.5.

Kutokana na jitihada za Mbunge huyo kuokoa maisha ya walemavu hao, Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani