DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu awapatia matibabu ya bure walemavu wa ngozi
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu.
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na wategemezi wao katika vituo vya huduma za afya za serikali na zile binafsi vilivyosajiliwa na mfuko wa afya ya jamii (CHF).
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (wa nne kutoka kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi pamoja na viongozi wa dini na serikali za mitaa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MKUU WA WILAYA MISSENYI MH.FADHIL NKURLU AKAMATA SHEHENA LA NGOZI ZA MAGENDO


10 years ago
Dewji Blog08 May
DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akamata shehena kubwa ya ngozi ya magendo ikisafirishwa nje
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (kushoto) akimhoji dereva wa lori aliyejitambulisha kama Bw. Kabyemela (mwenye tisheti jekundu) baada ya kuwekewa mtego na kukamatwa na shehena ya ngozi ya magendo iliyokuwa ikisafirishwa kuelekea nchi jirani. Shehena hiyo ilikamatwa katika kizuizi cha Kyaka.
Baadhi ya ngozi ya magendo iliyokamatwa baada ya Mkuu huyo wa Wilaya kuweka mtego kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama. Shehena hiyo ya ngozi ya magendo inakisiwa kufika uzito...
10 years ago
Michuzi
DC WA MISSENYI AWAPATIA MATIBABU YA BURE WATU WENYE UALBINO


BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
11 years ago
GPL
JULIETH ATESWA NA WALEMAVU WA NGOZI
11 years ago
GPLWALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO
11 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wadau wasaidie Albino kupatiwa matibabu saratani ya ngozi
WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), wamekuwa wakisumbuliwa na maradhi ya ngozi hususan saratani ya ngozi. Maradhi hayo hadi sasa, baadhi ya watu huyachukulia kuwa labda hayana tiba, hiyo inatokana...
10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI WA NCHI AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI
11 years ago
Uhuru Newspaper
Mh. Kamani ajenga kituo cha kutunza walemavu wa ngozi

Kituo hicho kinachojengwa Kijiji cha Lukungu, Kata ya Lamadi, kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua watoto zaidi ya 100, kitagharimu zaidi ya sh Bilioni 1.5.
Kutokana na jitihada za Mbunge huyo kuokoa maisha ya walemavu hao, Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...