BENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Mussa Jallow (wa tatu kushoto), akikabidhi pikipiki kwa Mwenyekiti wa Chama cha Albino (TAS) Mkoa wa Pwani, Thomas Diwani, katika hafla ambayo NBC ilikabidhi pikipiki tatu, kofia, miwani na mafuta ya ngozi ikiwa ni sehemu ya juhudi za benki hiyo katika kuisaidia jamii. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Kibaha, Pwani jana. Wengine ni baadhi ya wanachama wa TAS na maofisa wa NBC.
Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Kibaha, Asia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yatoa msaada wa mafuta, kofia, pikipiki na kompyuta kwa albino
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yatoa msaada wa madawati kwa Shule ya Msingi Mlingotini mjini Bagamoyo
11 years ago
Dewji Blog12 May
THT yatoa vitabu kwa maktaba ya walemavu wa ngozi Kanda ya Ziwa
Mlezi wa Umoja wa Wake wa Viongozi Tanzania, Mama Tunu Pinda, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea msaada wa vitabu kutoka Tanzania House of Talent. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Umoja huo, Mama Germina Lukuvi na kulia kwake ni Meneja Mkuu wa Tanzania House of Talent, Mwita Mwaikenda.
Mwakilishi wa Kampuni ya Opportunity Education akikabidhi vitabu kwa Mama Tunu Pinda.
Nyumba ya vipaji Tanzania (THT) imetoa vitabu vya Sayansi, Sanaa na Hesabu kwa maktaba ya walemavu wa...
10 years ago
VijimamboBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WA MUHIMBILI
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WALIOLAZWA MUHIMBILI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-mmvLYbCvX6kmua2nvNBpKNQBI*swpOefMv7qGCIxIfHEvLnn7mU1PaVKEhwWytldhkEyw7rpPJIHtmyaYULfp9/1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA KWA KUNDI LA WALEMAVU
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yakabidhi msaada wa madawati kwa shule ya Msingi Maweni-Kigamboni,Jijini Dar
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VkR2q43__88/Vkxwq6Wo1QI/AAAAAAAIGlc/LKM_0Y2k-_4/s72-c/01.jpg)
BENKI YA NBC YATOA SOMO KUHUSU HUDUMA ZA ISLAMIC BANKING KWA WATEJA MKOANI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkR2q43__88/Vkxwq6Wo1QI/AAAAAAAIGlc/LKM_0Y2k-_4/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tmUHi43zVB0/Vkxwrb1V9iI/AAAAAAAIGlk/6jxyC9U4JlI/s640/02.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
PPF yatoa msaada kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi, Shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-TAY0tFuNku8/VfLkbDTJlRI/AAAAAAAAZNg/QRxYl-YuUMA/s640/PPF_ALBINO2.jpg)
Meneja Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele, (kushoto), na Afisa wa Fedha Mwandamizi wa Mfuko huo, Angel Mukasa, (kulia), na Mfanyakazi mwingine wa Mfuko huo, Omari Bundile, (wapili kushoto), wakigawa mafuta maalum yanayotumiwa na watu wenye ulemavu wa ngozi, pamoja na sare za shule na viatu kwa wanafunzi hawa wenye ulemavu wa ngozi wa shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es Salaam leo Septemba 11, 2015. Katika kutekeleza sera ya mfuko ya kusaidia jamii,...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10