Mh. Kamani ajenga kituo cha kutunza walemavu wa ngozi
![](http://3.bp.blogspot.com/--_dSNq_2wFs/U8kaBH4lOUI/AAAAAAAABZA/QORawOzzxAA/s72-c/Kamani.jpg)
NA PETER KATULANDA, BUSEGA.VITENDO vya mauaji ya kikatili kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wilayani Busega, vimemsukuma Mbunge wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani, kuanzisha ujenzi wa kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu huo.
Kituo hicho kinachojengwa Kijiji cha Lukungu, Kata ya Lamadi, kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua watoto zaidi ya 100, kitagharimu zaidi ya sh Bilioni 1.5.
Kutokana na jitihada za Mbunge huyo kuokoa maisha ya walemavu hao, Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](https://lh3.googleusercontent.com/-zO9ZvfsY1Po/VTN5YfjPgHI/AAAAAAAB7Ps/sj_l_JelwBg/s72-c/blogger-image-1554652335.jpg)
ZITTO ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WALEMAVU WA NGOZI, MACHO NA MASIKIO SHINYANGA
![](https://lh3.googleusercontent.com/-zO9ZvfsY1Po/VTN5YfjPgHI/AAAAAAAB7Ps/sj_l_JelwBg/s640/blogger-image-1554652335.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-LzZ_ADyBW9g/VTN5g_8Q_NI/AAAAAAAB7QE/ASOT0gJzfXU/s640/blogger-image--1403542051.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-_DPm_ItS2-8/VTN5u3hlMCI/AAAAAAAB7QM/qoGafuPnZ2Q/s640/blogger-image-1855899786.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-ZZtH7q0j-to/VTN5bUOTrCI/AAAAAAAB7P0/50ObRLvkatw/s640/blogger-image--1382500650.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-cE24aH91Qyw/VTN5VyEJvrI/AAAAAAAB7Pk/9A7lQHhthTw/s640/blogger-image-1699539164.jpg)
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akizungumza na watoto walemavu wenye albinism,walemavu wa macho na kusikia waliopo kwenye kituo cha kuwahifadhi cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_hXhFyltC8/Xru3EzYS6PI/AAAAAAALqBQ/CNdLvb3Pyrw3SqtibrD9VzmG5Gi8IyIzQCLcBGAsYHQ/s72-c/728A7594AAA-768x512.jpg)
ZIARA YA KAMISHNA WA THBUB KATIKA HOSPITALI MKOA WA DODOMA,KITUO CHA KUTUNZA WATOTO NA WAZEE CHA HOME OF JOY AND LOVE
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_hXhFyltC8/Xru3EzYS6PI/AAAAAAALqBQ/CNdLvb3Pyrw3SqtibrD9VzmG5Gi8IyIzQCLcBGAsYHQ/s640/728A7594AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/728A7684AAA-1024x682.jpg)
10 years ago
Vijimambo18 Mar
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc4tqLoeCL89vyp8P-OFzZoG0wJEpY4r7wYFyto0aSWrzOUMp8BtdGSmdlOEAtwMNKz9jJ8adEqCOwdcaUPzOv9v/unnamed2.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y1MknEa-lik/U1Vn9riWV6I/AAAAAAAFcOA/YLZQ2NIJFXw/s72-c/unnamed+(23).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KITUO CHA WALEMAVU CHA RASIBURA NA KUTOA ZAWADI YA PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y1MknEa-lik/U1Vn9riWV6I/AAAAAAAFcOA/YLZQ2NIJFXw/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Kt9QsyX1nwI/U1Vn-bQ2ZgI/AAAAAAAFcOI/TjuGQBz0Lhk/s1600/unnamed+(24).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVm2XXwOEwM/VO62MqHot6I/AAAAAAAHF8E/8ND71291Uas/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Kituo cha watu wenye ulemavu wa ngozi kilichojaa changamoto!
NA AGATHA CHARLES, ALIYEKUWA SHINYANGA
WAKATI jamii ikipambana kuzuia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), imebainika kuwa licha ya tishio hilo la kuawa lakini pia wamekuwa wakifanyiwa vitendo wa ukatili ikiwemo kubakwa.
Mwandishi wa gazeti hili, Machi 10, mwaka huu alitembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga na kukutana na binti mwenye umri chini ya miaka 18 ambaye alifanyiwa ukatili...
10 years ago
GPLSITTI MTEMVU ATEMBELEA KITUO CHA WENYE ULEMAVU WA NGOZI HOSPITALI YA MKOA ILALA
10 years ago
MichuziSITTI MTEMVU ATEMBELEA KITUO CHA WENYE ULEMAVU WA NGOZI AN HOSPITALI YA MKOA ILALA.