MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM
.jpg)
Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akikata keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi watoto hao.
Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akiwalisha Keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo18 Mar
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO


10 years ago
GPL
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
10 years ago
GPLSITTI MTEMVU ATEMBELEA KITUO CHA WENYE ULEMAVU WA NGOZI HOSPITALI YA MKOA ILALA
10 years ago
MichuziSITTI MTEMVU ATEMBELEA KITUO CHA WENYE ULEMAVU WA NGOZI AN HOSPITALI YA MKOA ILALA.
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Kituo cha watoto wenye ulemavu wa ngozi mjini Shinyanga chapigwa “Tafu†na Tigo
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akizungumza na watoto yatima na wenye albinism katika kituo cha Buhangija mkoani Shinyanga wakati wa kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea ,ambapo mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5,kushoto ni Meneja wa Tigo mikoa ya Shinyanga,Tabora na Kigoma Kamara Kalembo na Meneja Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo (kulia).
Sehemu ya msaada wa chakula mchele, unga na maharage tani 3.9,mafuta...
9 years ago
Michuzi
KITUO MAALUM CHA KULELEA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI SHINYANGA CHAPIGWA JEKI NA VODACOM FOUNDATION
10 years ago
Michuzi
PPF YATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI, SHULE YA MSINGI YA JESHI LA WOKOVU JIJINI DAR ES SALAAM

10 years ago
Vijimambo11 Jan
MISS UNIVERSE NALE BONIFACE

Miss Universe Tanzania Nale she is dressed for the Chinese laundry event this afternoon... Nale's Outfit is Just On Point. Thank you @irfanrizwanali for being the best stylist/ best fashion guardian to Nale @nalecious Throughout the whole journey, and special thanks to @mariastsehai for also being a great mentor and the best director to our Beauty Queen.
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Kituo cha watu wenye ulemavu wa ngozi kilichojaa changamoto!
NA AGATHA CHARLES, ALIYEKUWA SHINYANGA
WAKATI jamii ikipambana kuzuia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), imebainika kuwa licha ya tishio hilo la kuawa lakini pia wamekuwa wakifanyiwa vitendo wa ukatili ikiwemo kubakwa.
Mwandishi wa gazeti hili, Machi 10, mwaka huu alitembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga na kukutana na binti mwenye umri chini ya miaka 18 ambaye alifanyiwa ukatili...