WAZIRI WA NCHI AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Va-HN9etES0/VTtq0XqLrmI/AAAAAAAHTHU/bA54pFKNnXs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akisikiliza kwa makini hoja kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi Sera Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Joyce Momburi (hayupo pichani) wakati wa Kikao cha Pamoja na Viongozi wa Taasisi ya Watu wenye Ulemavu wa Ngozi (AKUAT)Ofisini kwake Aprili 24, 2015.
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiwa na Viongozi wa Taasisi ya Watu wenye Ulemavu wa Ngozi walipomtembelea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HuDNA2JjJDU/VTvhmgWtPBI/AAAAAAAHTRA/J3PD_A_u7Zg/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, unalenga kuendeleza wanafunzi katika kuwapatia stadi muhimu zinazohitajika kwa maendeleo ya nchi.
Mfumo wa elimu wa nchi hiyo, umeweka mkazo zaidi katika kutoa mafunzo ya ufundi stadi ambayo yanatoa ujuzi kwa mhitimu kuweza kufanya kazi katika ...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tPJN3F0IlaA/VTwZIrTHpjI/AAAAAAAHTUI/z47uxcm8tTs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
10 years ago
MichuziVIONGOZI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI MKUTANO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NCHINI ETHIOPIA
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKlaiUH6h4tPoyOjDynAIr7GFfuCrB*2EKQCVWkLtVG*E6njYM6MsabpzVFoASUavn098Q*8vYxAftcwNjOhOR9z/juliethi.jpg)
JULIETH ATESWA NA WALEMAVU WA NGOZI
10 years ago
MichuziWAZIRI MUHONGO AKUTANA NA VIONGOZI WA DINI
10 years ago
GPLWALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO
10 years ago
MichuziBalozi Mushy akutana na Wawakilishi wa Nchi za G4 nchini Tanzania
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Tattoo husababisha maradhi ya ngozi, kuzaa watoto walemavu
9 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI