JULIETH ATESWA NA WALEMAVU WA NGOZI
![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKlaiUH6h4tPoyOjDynAIr7GFfuCrB*2EKQCVWkLtVG*E6njYM6MsabpzVFoASUavn098Q*8vYxAftcwNjOhOR9z/juliethi.jpg)
Stori: Gladness Mallya MISS Progress International, Julieth William ambaye ni Mkurugenzi wa Progressive Foundation amesema kamwe hawezi kuwasahau walemavu wa ngozi kutokana na mateso wanayopata ya kukatwa viungo na kuuawa ambapo kila wakati huwa anawapatia msaada. Miss Progress International, Julieth William akiwabeba watoto wawili wenye ulemavu wa ngozi. Akizungumza hivi karibuni baada ya kutoa msaada wa vifaa mbalimbali vya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Va-HN9etES0/VTtq0XqLrmI/AAAAAAAHTHU/bA54pFKNnXs/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
WAZIRI WA NCHI AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Va-HN9etES0/VTtq0XqLrmI/AAAAAAAHTHU/bA54pFKNnXs/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dM9fmsKnmsY/VTtq0v8TQxI/AAAAAAAHTHY/KzkF3-x1xE4/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
9 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/--_dSNq_2wFs/U8kaBH4lOUI/AAAAAAAABZA/QORawOzzxAA/s72-c/Kamani.jpg)
Mh. Kamani ajenga kituo cha kutunza walemavu wa ngozi
![](http://3.bp.blogspot.com/--_dSNq_2wFs/U8kaBH4lOUI/AAAAAAAABZA/QORawOzzxAA/s1600/Kamani.jpg)
Kituo hicho kinachojengwa Kijiji cha Lukungu, Kata ya Lamadi, kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua watoto zaidi ya 100, kitagharimu zaidi ya sh Bilioni 1.5.
Kutokana na jitihada za Mbunge huyo kuokoa maisha ya walemavu hao, Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Tattoo husababisha maradhi ya ngozi, kuzaa watoto walemavu
10 years ago
Dewji Blog06 May
DC wa Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu awapatia matibabu ya bure walemavu wa ngozi
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu.
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu akimpatia mmoja wa walemavu wa ngozi kadi za afya zitakazowawezesha kupata matibabu bure wao pamoja na wategemezi wao katika vituo vya huduma za afya za serikali na zile binafsi vilivyosajiliwa na mfuko wa afya ya jamii (CHF).
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Mh. Fadhil Nkurlu (wa nne kutoka kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi pamoja na viongozi wa dini na serikali za mitaa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9KHm0_DQrm8/VJPH9vkO8mI/AAAAAAAG4Wg/k4Jq5S0T78Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
TANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WALEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9KHm0_DQrm8/VJPH9vkO8mI/AAAAAAAG4Wg/k4Jq5S0T78Y/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 May
THT yatoa vitabu kwa maktaba ya walemavu wa ngozi Kanda ya Ziwa
Mlezi wa Umoja wa Wake wa Viongozi Tanzania, Mama Tunu Pinda, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupokea msaada wa vitabu kutoka Tanzania House of Talent. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Umoja huo, Mama Germina Lukuvi na kulia kwake ni Meneja Mkuu wa Tanzania House of Talent, Mwita Mwaikenda.
Mwakilishi wa Kampuni ya Opportunity Education akikabidhi vitabu kwa Mama Tunu Pinda.
Nyumba ya vipaji Tanzania (THT) imetoa vitabu vya Sayansi, Sanaa na Hesabu kwa maktaba ya walemavu wa...
10 years ago
Vijimambo24 Nov
TAMBUENI JUHUDI ZETU KUZUIA UKATILI DHIDI YA WALEMAVU WA NGOZI-TANZANIA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesisitiza haja na umuhimu wa Jumuiya ya Kimataifa ya kutambua mchango unaofanywa na serikali wa kukabiliana na vitendo vya kikatili dhidi ya wananchi wake wenye matatizo ya ulemavu wa ngozi ( albino)Wito huo wa Tanzania umetolewa mapema wiki hii ( Jumanne) wakati Wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa walipopitisha kwa kupiga kura, Azimio linalotaka Juni 13 ya kila mwaka iwe ni...