TANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WALEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9KHm0_DQrm8/VJPH9vkO8mI/AAAAAAAG4Wg/k4Jq5S0T78Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akilizungumza Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hapo siku ya Alhamis kabla Baraza hilo halijapigia kura Azimio linalotaka kuwapo kwa siku ya Kimataifa ya kuwatambua watu wenye ulemavu wa ngozi. Kulia kwa Balozi ni Bi. Ellen Maduhu Afisa wa Uwakilishi anayeshughulika Kamati ya Tatu inayohusika na masuala ya Haki za Binadamu, Utamaduni na Masuala ya Jamii na alishiriki kikamilifu katika ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
10 years ago
Vijimambo24 Nov
TAMBUENI JUHUDI ZETU KUZUIA UKATILI DHIDI YA WALEMAVU WA NGOZI-TANZANIA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesisitiza haja na umuhimu wa Jumuiya ya Kimataifa ya kutambua mchango unaofanywa na serikali wa kukabiliana na vitendo vya kikatili dhidi ya wananchi wake wenye matatizo ya ulemavu wa ngozi ( albino)Wito huo wa Tanzania umetolewa mapema wiki hii ( Jumanne) wakati Wajumbe wa Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa walipopitisha kwa kupiga kura, Azimio linalotaka Juni 13 ya kila mwaka iwe ni...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qC-WN9hEgy0/VicD-sc1DiI/AAAAAAAIBa4/mjfbYrj9LhQ/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
TANZANIA NA MALAWI ZAWASILISHA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE UALIBINO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKlaiUH6h4tPoyOjDynAIr7GFfuCrB*2EKQCVWkLtVG*E6njYM6MsabpzVFoASUavn098Q*8vYxAftcwNjOhOR9z/juliethi.jpg)
JULIETH ATESWA NA WALEMAVU WA NGOZI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e-_QIdQSZlw/VBL1PLIhhwI/AAAAAAAGjSY/z_aENCQ4EZ0/s72-c/jb1.jpg)
Mwigizaji JB atia fora katika uzinduzi wa ripoti ya benki ya dunia kuhusu ajira zenye tija tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-_QIdQSZlw/VBL1PLIhhwI/AAAAAAAGjSY/z_aENCQ4EZ0/s1600/jb1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tASNpVRPL8A/VBL1Uy-kTwI/AAAAAAAGjSg/cebLK9N4dpQ/s1600/jb2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2jMia3a9ylM/VBL1VdCS0HI/AAAAAAAGjSk/SwNcBZBj6sE/s1600/jb4.jpg)
10 years ago
GPLWALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Tattoo husababisha maradhi ya ngozi, kuzaa watoto walemavu
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/--_dSNq_2wFs/U8kaBH4lOUI/AAAAAAAABZA/QORawOzzxAA/s72-c/Kamani.jpg)
Mh. Kamani ajenga kituo cha kutunza walemavu wa ngozi
![](http://3.bp.blogspot.com/--_dSNq_2wFs/U8kaBH4lOUI/AAAAAAAABZA/QORawOzzxAA/s1600/Kamani.jpg)
Kituo hicho kinachojengwa Kijiji cha Lukungu, Kata ya Lamadi, kitakachokuwa na uwezo wa kuchukua watoto zaidi ya 100, kitagharimu zaidi ya sh Bilioni 1.5.
Kutokana na jitihada za Mbunge huyo kuokoa maisha ya walemavu hao, Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
9 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MSAADA KWA WALEMAVU WA NGOZI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10