TANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
.Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akilizungumza Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hapo siku ya Alhamis kabla Baraza hilo halijapigia kura Azimio linalotaka kuwapo kwa siku ya Kimataifa ya kuwatambua watu wenye ulemavu wa ngozi. Kulia kwa Balozi ni Bi. Ellen Maduhu Afisa wa Uwakilishi anayeshughulika Kamati ya Tatu inayohusika na masuala ya Haki za Binadamu, Utamaduni na Masuala ya Jamii na alishiriki kikamilifu katika ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9KHm0_DQrm8/VJPH9vkO8mI/AAAAAAAG4Wg/k4Jq5S0T78Y/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
TANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WALEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9KHm0_DQrm8/VJPH9vkO8mI/AAAAAAAG4Wg/k4Jq5S0T78Y/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s72-c/DSC_0176.jpg)
WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) WATOAFAUTIANA KUHUSU MAANDAMANO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s1600/DSC_0176.jpg)
Kamati ya kuratibu mapambano ya kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)umepingana na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2DJGCBOBcH4/XmYe7SiYpBI/AAAAAAAA-Bk/SOHGe8e4Y5AEBZmDXyBYNvbZ4am1JGYHACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qC-WN9hEgy0/VicD-sc1DiI/AAAAAAAIBa4/mjfbYrj9LhQ/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
TANZANIA NA MALAWI ZAWASILISHA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE UALIBINO
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Kituo cha watu wenye ulemavu wa ngozi kilichojaa changamoto!
NA AGATHA CHARLES, ALIYEKUWA SHINYANGA
WAKATI jamii ikipambana kuzuia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), imebainika kuwa licha ya tishio hilo la kuawa lakini pia wamekuwa wakifanyiwa vitendo wa ukatili ikiwemo kubakwa.
Mwandishi wa gazeti hili, Machi 10, mwaka huu alitembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga na kukutana na binti mwenye umri chini ya miaka 18 ambaye alifanyiwa ukatili...
10 years ago
Michuzi03 Oct
PIGA KURA UBORESHE MAISHA YA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled.jpg)
Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5F3qbw_rGG4/VQBUgU_P-cI/AAAAAAAHJlI/2d_5lJRZo5w/s72-c/DSC_0225.jpg)
KESI ZA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI ZITAPEWA KIPAUMBELE - JAJI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-5F3qbw_rGG4/VQBUgU_P-cI/AAAAAAAHJlI/2d_5lJRZo5w/s1600/DSC_0225.jpg)
Jaji Mkuu Nchini Othman Chande amesema kesi za mauaji kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)zinatakiwa kufanywa kwa ushirikiano katika pande zote ikiwemo mashahidi kujitokeza kwa wakati kwa watuhumiwa wa mauji hayo.
Jaji Chande ameyasema hayo wakati wa hafla ya kuapishwa Manaibu wa Usajili wa Mahakama Kuu leo jijini,Dar es Salaam,amesema watu wenye ulemavu wa ngozi ni watanzania wenzetu na hakuna anayependa wanavyofanyiwa ukatili huo.
Chande amesema...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Watu wenye ulemavu wa ngozi Manyoni waomba kusogezewa karibu dawa zakujikinga
Jengo la ofisi ya Kijiji cha Kilimatinde,wilayani Manyoni mahali walipokuwa wakipokelea malipo ya fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini katika Kijiji hicho.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisubiri kwa hamu kuba malipo ya TASAF awamu ya tatu yaliyokuwa yakifanyika katika ofisi za kijiji hicho.
baadhi ya waanchi wa Kijiji cha Sukamahela,tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya taratibu za...