SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pc-4-768x677.jpg)
IKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s640/Pc-4-768x677.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pc-5.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA
9 years ago
MichuziWAANDISHI WAMETAKIWA KUTAJA MAJINA SAHIHI YA WATU WENYE ULEMAVU KUEPUKA UNYANYAPA
Sehemu ya waandishi wakifatilia maada katika semina iliyoandaliwa na SHIVYAWATA BA panoja na Chama cha Waandishi wa habari Mkoa wa Dar es Salaam(DCPC) iliyofanyika jijini Dar es Salaam
Na Chalila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xHXCZPX7nfs/XtE9sYxzhbI/AAAAAAALr_0/mI_M8VcBEgANgBi82HVfw3Za6OD-rTBGwCLcBGAsYHQ/s72-c/ALBINO00000.jpg)
TAS WAIOMBA SERIKALI KUANGALIA NAMNA YA KUWASAIDIA WATU WENYE UALBINO
Chama cha Watu wenye ualbino ( TAS) kimeiomba serikali kuangalia upya sera na miongozo katika sekta ya afya kuwasidia watu wenye ualbino katika upatikanaji wa vifaa kinga ikiwemo mafuta maalumu ya kujipaka ,kama ilivyo katika upatikanaji wa dawa za kufumpaza virusi vya Ukimwi ARV zinavyotolewa bure katika vituo vya afya na zahanati.
Kauri hiyo imetolewa mkoani Morogoro na katibu wa Tas Taifa Musaa Kabimba katika kliniki ya ngozi kwa watu wenye ualbino,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s72-c/DSC_0176.jpg)
WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) WATOAFAUTIANA KUHUSU MAANDAMANO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s1600/DSC_0176.jpg)
Kamati ya kuratibu mapambano ya kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)umepingana na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Watu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5KOeMtWf_Z0/VTeHL94EHqI/AAAAAAAHSes/LaqiIPzonNE/s72-c/1.jpg)
WATU WENYE UZIWI WAOMBA USHIRIKIANO KWA JAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-5KOeMtWf_Z0/VTeHL94EHqI/AAAAAAAHSes/LaqiIPzonNE/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gcv9iDKjuAw/VTeHLhaAZMI/AAAAAAAHSeo/Zw7v-E1_KJo/s1600/2.jpg)
(Picha...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Watu wenye ulemavu msibaki nyuma uchaguzi serikali za mitaa
DESEMBA 14 mwaka huu itakuwa siku ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini. Ratiba ya uchaguzi huo imekwishatolewa, na kuonyesha kwamba Novemba 23 ndio uandikishaji wa majina unaanza katika maeneo...
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
THBUB yalaani mauaji na vitendo vya ukatili wa viungo vya watu wenye ulemavu wa ngozi!
Mtoto Mlemavu wa Ngozi (Albino) Adam Robert (13) wakati akiwa amelazwa hospitalini baada ya kujeruhiwa na kwa kukatwa mkono na kisha kunyofolewa Vidole sita vya mikono yote miwili,picha hii ilipigwa siku moja tu baada ya kufikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. (Maktaba;Picha hii ilipigwa Oktoba 14 mwaka 2011).
Press Release_Albino Kukatwa Viungo by moblog
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s1600/unnamed+(5).jpg)