Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu wenye ulemavu msibaki nyuma uchaguzi serikali za mitaa

DESEMBA 14 mwaka huu itakuwa siku ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini. Ratiba ya uchaguzi huo imekwishatolewa, na kuonyesha kwamba Novemba 23 ndio uandikishaji wa majina unaanza katika maeneo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA


Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu  Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.

Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...

 

9 years ago

Vijimambo

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR, MAFUNZO YATOLEWA KWA WATU WENYE ULEMAVU PEMBA

Ofisa kutoka Tume ya Uchaguzi Zanzibar ‘ZEC’ ofisi ya Pemba Suleiman Daud Mkasha ‘kushoto’ akiwasilisha mada katika mafunzo juu ya haki za watu wenye ulemavu kisiwani Pemba kuelekea uchaguzi mkuu, yaliyofanyika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa na kuandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC Pemba, na kulia ni mtoa mada Mohamed Hassan Ali kutoka ZLSC.Mtoa Mada kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Mohamed Hassan Ali, akiwasilisha mada katika mafunzo juu ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Ndoto za watu wenye ulemavu zinapotimia

Ulemavu ni hali inayotokana na dosari ya kimwili au kiakili ya muda mfupi au ya kudumu ambayo inampunguzia mtu uwezo na fursa sawa katika utekelezaji wa majukumu mbalimbali katika jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye ulemavu wahimizwa kushiriki uchaguzi

MWENYEKITI wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mlandizi, Abdallah Kido, amewataka watu wenye ulemavu kuwa mstari wa mbele kushiriki kuchagua na kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali katika uchaguzi...

 

11 years ago

Michuzi

TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014

 Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa kilicho chini ya Taasisi ya Policy Forum,Bw. Hebron Mwakageda (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji kufanyika mwaka huu.Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Policy Forum,Bw. Israel Ilunde akifafanua jambo wakati mkutano huo na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji...

 

9 years ago

Habarileo

Jamii yashauriwa kujali watu wenye ulemavu

JAMII nchini imehimizwa kuongeza ushirikiano kwa makundi ya watu walio na mahitaji maalumu hususan wenye ulemavu kwa kuwa kufanya hivyo kutawezesha uwepo wa jamii iliyo na ustawi na yenye kujali maslahi ya kila mmoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni mwaka wa mabadiliko kwa watu wenye ulemavu

BAADA ya kumalizika mwaka 2013, baadhi ya watu wenye ulemavu wameupokea mwaka 2014 kwa matarajio makubwa, hususan katika kupigania haki zao. Wanaamini kuwa kama kuna eneo linalopaswa kusimamia haki zao,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tamwa kuzindua jarida la watu wenye ulemavu

SHIRIKISHO la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (Shivyawata), leo linatarajiwa kuzindua jarida linalojulikana kama ‘Sauti ya Siti’. Jarida hilo maalumu kwa watu wenye ulemavu, limeandaliwa na Chama cha Wanahabari...

 

10 years ago

Mwananchi

Wenye ulemavu watengewa mamilioni ya uchaguzi mkuu

Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya The Foundation for Civil Society (FCS), imetenga Sh 300 milioni kwa ajili ya kugharamia elimu ya uchaguzi mkuu kwa watu wenye ulemavu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani