Wenye ulemavu wahimizwa kushiriki uchaguzi
MWENYEKITI wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mlandizi, Abdallah Kido, amewataka watu wenye ulemavu kuwa mstari wa mbele kushiriki kuchagua na kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali katika uchaguzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wenye ulemavu wahimizwa kutojinyanyapaa
WANAFUNZI wenye ulemavu mbalimbali wanaosoma na kulelewa katika kituo cha shule ya msingi Mugeza Museto Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera wameshauriwa kutumia muda wao mwingi katika masomo ili kupata ufaulu mkubwa na kutojinyanyapaa kuwa wao ni tofauti na wengine.
10 years ago
Habarileo29 Sep
Chadema wahimizwa kushiriki uchaguzi
MAKAMU Mwenyekiti Taifa kupitia Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Patrick ole Sosopi ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho, kushiriki kuchagua au kuchaguliwa katika chaguzi, zitakazofanyika nchini, ukiwemo wa Serikali za Mitaa.
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Wenye ulemavu watengewa mamilioni ya uchaguzi mkuu
10 years ago
MichuziWANAWAKE WENYE ULEMAVU WAELIMISHWA JUU YA UCHAGUZI
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Watu wenye ulemavu msibaki nyuma uchaguzi serikali za mitaa
DESEMBA 14 mwaka huu itakuwa siku ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini. Ratiba ya uchaguzi huo imekwishatolewa, na kuonyesha kwamba Novemba 23 ndio uandikishaji wa majina unaanza katika maeneo...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6OSYnpeUDQ8/VidvtlT56FI/AAAAAAACCi4/FJH8jRNErtI/s72-c/90.jpg)
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR, MAFUNZO YATOLEWA KWA WATU WENYE ULEMAVU PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6OSYnpeUDQ8/VidvtlT56FI/AAAAAAACCi4/FJH8jRNErtI/s640/90.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W8jDJxdhfE4/VidvwvO3LeI/AAAAAAACCjA/brpVSqeDk1k/s640/03.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia
WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...
11 years ago
Habarileo21 Apr
‘Tembeleeni wenye ulemavu Buhangija’
WAZAZI na walezi waliopeleka watoto wao katika kituo maalumu cha kulelea watoto wenye ulemavu Buhangija katika Manispaa ya Shinyanga, wameombwa kujenga desturi ya kuwatembelea watoto hao.