Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia
WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AGcUvG8w7FQ/Uu4PxAFbfuI/AAAAAAAFKMM/aCrmPyuDrh4/s72-c/unnamed.jpg)
TPSF yahamasisha wadau wa maendeleo kushiriki mkutano kuhusu mitaji ya ubia
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGcUvG8w7FQ/Uu4PxAFbfuI/AAAAAAAFKMM/aCrmPyuDrh4/s1600/unnamed.jpg)
Mkutano huo wa siku moja unaotarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu unatarajia kuongelea jinsi sekta binafsi inavyoweza kufaidika na mitaji ya ubia.
Akiongea na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HTLvb9uLYZ4/UvdL2PG0EsI/AAAAAAAFL6M/9UtFY3txSjk/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Mitaji ya ubia chachu ya maendeleo–Dk. Nagu
10 years ago
Habarileo29 Sep
Chadema wahimizwa kushiriki uchaguzi
MAKAMU Mwenyekiti Taifa kupitia Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Patrick ole Sosopi ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho, kushiriki kuchagua au kuchaguliwa katika chaguzi, zitakazofanyika nchini, ukiwemo wa Serikali za Mitaa.
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Wenye ulemavu wahimizwa kushiriki uchaguzi
MWENYEKITI wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mlandizi, Abdallah Kido, amewataka watu wenye ulemavu kuwa mstari wa mbele kushiriki kuchagua na kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali katika uchaguzi...
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wafunguliwa jijini Dar
Mgeni rasmi katika Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA),Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo akizungumza wakati akifungua mkutano huo ulioanza jana April 10,2014 katika hoteli ya White Sands,Jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wakiendelea na Mkutano huo uliofunguliwa rasmi jana April 10,2014 na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Peter Ilomo (katikati mwenye tai nyekundu).
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tQcRmLVkjj8/U0ZtZbaP8PI/AAAAAAAFZog/dzGsOo9Sp4g/s72-c/1.jpg)
Mkutano wa 32 wa Sekta ya Fedha, Soko la Mitaji na Mifuko ya Jamii (CISNA) wafunguliwa leo jijini dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-tQcRmLVkjj8/U0ZtZbaP8PI/AAAAAAAFZog/dzGsOo9Sp4g/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tTpJKUvZ0Vs/U0ZuTBRMXEI/AAAAAAAFZp4/7Muv0Yu2x5k/s1600/2.jpg)
11 years ago
Habarileo03 Jun
Pinda kushiriki mkutano Dart
MKUTANO wa mashauriano ya uwekezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) unafanyika leo huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
MO atua Singida kushiriki mkutano wa kampeni za Urais
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akisalimiana na mmoja wa madiwani waliofika kumpokea mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Singida mjini pamoja na wasaidizi wake.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Singida mjini, Mohammed Dewji akiwa ameambatana na Mgombea Ubunge wa jimbo la Bumbuli, January Makamba ambaye pia ni mmoja wa wanakamati wa timu ya ushindi ya kampeni za Mgombea urais kupitia tiketi ya CCM, Dk.John...