Mitaji ya ubia chachu ya maendeleo–Dk. Nagu
![](http://2.bp.blogspot.com/-HTLvb9uLYZ4/UvdL2PG0EsI/AAAAAAAFL6M/9UtFY3txSjk/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Mitaji ya ubia imetajwa kama mpango unaoweza kuongeza nguvu katika miradi ya wafanyabishara nchini na kuchangia uchumi na ustawi wa jamii. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni kuwa kukubalika kwa mpango wa mitaji ya ubia ni moja ya utayari wa serikali katika kuweka mazingira ya kuifanya sekta binafsi kuwa injini ya uchumi hapa nchini. “Hiki ni chanzo mbadala cha mitaji ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AGcUvG8w7FQ/Uu4PxAFbfuI/AAAAAAAFKMM/aCrmPyuDrh4/s72-c/unnamed.jpg)
TPSF yahamasisha wadau wa maendeleo kushiriki mkutano kuhusu mitaji ya ubia
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGcUvG8w7FQ/Uu4PxAFbfuI/AAAAAAAFKMM/aCrmPyuDrh4/s1600/unnamed.jpg)
Mkutano huo wa siku moja unaotarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu unatarajia kuongelea jinsi sekta binafsi inavyoweza kufaidika na mitaji ya ubia.
Akiongea na...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia
WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UWEKEZAJI: Nagu: Miradi mikubwa kufanyika kwa ubia
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s72-c/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s1600/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_abfF1h3Dc/VJqO7ptSFOI/AAAAAAAG5gE/ELosa9iKgS8/s1600/1239-maafisa%2Bwakiwa%2Bwatatu.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Vijana ni chachu ya maendeleo
TAIFA lolote lile, ili liendelee, linahitaji nguvu ya vijana. Mtu anapokuwa kijana anapata fursa pekee ambayo akili na mwili huwa na uchu na uwezo wa kuchapa kazi. Pindi atakapozeeka, hubakiwa...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mkapa: Daraja la Kigamboni ni chachu ya maendeleo
11 years ago
MichuziVIJANA KUANDALIWA KUWA CHACHU YA MAENDELEO YA JAMII
11 years ago
Mwananchi28 May
Dk Nagu ahimiza jamii kukopa kwa maendeleo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yYruf1t-f4M/XmuNY3o2c4I/AAAAAAAC8bY/JihAvaiAr9QZVB6ePVHtXVwRY-vSsFllACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU†YAWA CHACHU YA MAENDELEO KWA MNUFAIKA WA TASAF MKOANI SINGIDA
James Mwanamyoto - Singida
Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Edith Brayson Makala mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Manispaa ya Singida, Mtaa wa Sokoine, amesimamia vema Kauli Mbiu ya HAPA KAZI TU ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambayo imemuwezesha kuinua uchumi wa familia yake kupitia ruzuku ya TASAF.
Akitoa ushuhuda jana, mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa ziara ya kamati hiyo...