Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitaji ya ubia chachu ya maendeleo–Dk. Nagu

Mitaji ya ubia imetajwa kama mpango unaoweza kuongeza nguvu katika miradi ya wafanyabishara nchini na kuchangia uchumi na ustawi wa jamii.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni kuwa kukubalika kwa mpango wa mitaji ya ubia ni moja ya utayari wa serikali katika kuweka mazingira ya kuifanya sekta binafsi kuwa injini ya uchumi hapa nchini. “Hiki ni chanzo mbadala cha mitaji ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TPSF yahamasisha wadau wa maendeleo kushiriki mkutano kuhusu mitaji ya ubia

Changamoto imetolewa kwa wadau wa sekta binafsi na maendeleo Tanzania kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Alhamis wiki hii.
Mkutano huo wa siku moja unaotarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu unatarajia kuongelea jinsi sekta binafsi inavyoweza kufaidika na mitaji ya ubia.  
Akiongea na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia

WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...

 

11 years ago

Mwananchi

UWEKEZAJI: Nagu: Miradi mikubwa kufanyika kwa ubia

>Serikali imedhamiria kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo kwa ubia kati ya sekta za umma na binafsi (PPP) ili kufikia malengo ya maendeleo kwa faida ya taifa na watu wake.

 

10 years ago

Michuzi

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe

Afisa Uchumi Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Bw.Yohana Ngao(wa kwanza kulia) akiskiliza maoni kutoka kikundi cha Nyota Alfajiri ambao wameanzisha mradi wa kutengeneza Matofali na kuuza Asali ambapo walichukua mkopo wa shilingi milioni mbili na kurudisha kiasi cha shilingi laki 732,000 wakiwa wamefata taratibu zote za kurudisha mkopo ndani ya mwezi mmoja.Wajumbe wa Kikosi kazi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wakiaangalia moja ya mradi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana ni chachu ya maendeleo

TAIFA lolote lile, ili liendelee, linahitaji nguvu ya vijana. Mtu anapokuwa kijana anapata fursa pekee ambayo akili na mwili huwa na uchu na uwezo wa kuchapa kazi. Pindi atakapozeeka, hubakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkapa: Daraja la Kigamboni ni chachu ya maendeleo

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa amesema ujenzi wa Daraja la Kigamboni unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu ni moja ya chachu ya maendeleo nchini.

 

11 years ago

Michuzi

VIJANA KUANDALIWA KUWA CHACHU YA MAENDELEO YA JAMII

Mkuu wa Kampuni ya TATA Africa Holdings (Tanzania) Ltd Bw. Prashant Shukla akielezea jinsi watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuwawezesha vijana kuleta maendeleo katika jamii, kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Pro. Elisante Ole Gabriel na katikati ni Mkuu wa kitengo cha kozi fupi na ushauri chuo cha Mzumbe Pro. Shiv K. Tripathi. Mkuu wa kitengo cha kozi fupi na ushauri chuo cha Mzumbe Pro. Shiv K. Tripathi...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Nagu ahimiza jamii kukopa kwa maendeleo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amewataka wajasiriamali kukopa kwenye taasisi za fedha, kwani ndiyo njia ya kuwanyanyua kiuchumi na wafanyabiashara wengi wamenufaika nayo.

 

5 years ago

Michuzi

KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU” YAWA CHACHU YA MAENDELEO KWA MNUFAIKA WA TASAF MKOANI SINGIDA


James Mwanamyoto - Singida
Mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Edith Brayson Makala mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Manispaa ya Singida, Mtaa wa Sokoine, amesimamia vema Kauli Mbiu ya HAPA KAZI TU ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ambayo imemuwezesha kuinua uchumi wa familia yake kupitia ruzuku ya TASAF.
Akitoa ushuhuda jana, mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakati wa ziara ya kamati hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani