Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa: Daraja la Kigamboni ni chachu ya maendeleo

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa amesema ujenzi wa Daraja la Kigamboni unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu ni moja ya chachu ya maendeleo nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MKAPA AMPONGEZA RAIS KIKWETE, NSSF UJENZI DARAJA LA KIGAMBONI

 RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa( katikati) akipokea maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutoka kwa Meneja Miradi wa shirika hilo Muhandisi John Msemo (kulia kwake) alipotembelea ujenzi huo kwa mualiko maalum kutoka NSSF. Muonekano wa Daraja kwa sasa. RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka (wan ne kulia) pamoja viongozi na maofisa wa Shirika la NSSF wakiongozwa...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni

Mafundi wa Kampuni ya ujenzi wa daraja la Kigamboni wakisuka nondo katika moja ya nguzo zitakazoshika daraja hilo




Meneja wa Mradi wa ujenzi wa daraja la Kigambonio Bw. Lin Tao kutoka kampuni ya China Railway Construction Engineering Group and Major Bridge Co. Ltd (CRCEG-MBEC JV) akionesha jinsi ambavyo daraja la kigamboni litakavyoonekana baada ya kukamilika. Kulia kwake ni Mratibu wa Mradi kutoka Wizara ya Miundombini Bw. Hussein Mativila. Daraja hilo kutoka Kurasini mpaka...

 

10 years ago

Michuzi

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe

Afisa Uchumi Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Bw.Yohana Ngao(wa kwanza kulia) akiskiliza maoni kutoka kikundi cha Nyota Alfajiri ambao wameanzisha mradi wa kutengeneza Matofali na kuuza Asali ambapo walichukua mkopo wa shilingi milioni mbili na kurudisha kiasi cha shilingi laki 732,000 wakiwa wamefata taratibu zote za kurudisha mkopo ndani ya mwezi mmoja.Wajumbe wa Kikosi kazi kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo wakiaangalia moja ya mradi wa...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE WA KIGAMBONI ATEMBELEA KITUO CHA AFYA KIGAMBONI KUANGALIA MAENDELEO YA TIBA YA KANSA YA KIZAZI KWA KINAMAMA

 Mbunge wa Jimbo la Kigamboni,Mh. Dkt. Faustine Ndugulile (mwenye fulana ya mistari mbele) akizungumza na baadhi ya kinamama wakazi wa Mji wa Kigamboni waliojitokeza kwa wingi kwenye Kituo cha Afya Kigamboni kwa ajili ya kupatiwa Huduma ya Uchunguzi na Tiba ya Kansa ya Mlango wa Kizazi kwa kina mama inayoendelea kutolewa leo kituoni hapo.   Mbunge wa Jimbo la Kigamboni,Mh. Dkt. Faustine Ndugulile akimuuliza Muuguzi wa zamu namna zoezi hilo la Utoaji wa Huduma ya Uchunguzi na Tiba ya Kansa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana ni chachu ya maendeleo

TAIFA lolote lile, ili liendelee, linahitaji nguvu ya vijana. Mtu anapokuwa kijana anapata fursa pekee ambayo akili na mwili huwa na uchu na uwezo wa kuchapa kazi. Pindi atakapozeeka, hubakiwa...

 

11 years ago

Michuzi

MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake utakamilka ifikapo Juni mwaka 2015.
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...

 

11 years ago

Michuzi

Mitaji ya ubia chachu ya maendeleo–Dk. Nagu

Mitaji ya ubia imetajwa kama mpango unaoweza kuongeza nguvu katika miradi ya wafanyabishara nchini na kuchangia uchumi na ustawi wa jamii.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni kuwa kukubalika kwa mpango wa mitaji ya ubia ni moja ya utayari wa serikali katika kuweka mazingira ya kuifanya sekta binafsi kuwa injini ya uchumi hapa nchini. “Hiki ni chanzo mbadala cha mitaji ya...

 

11 years ago

Michuzi

VIJANA KUANDALIWA KUWA CHACHU YA MAENDELEO YA JAMII

Mkuu wa Kampuni ya TATA Africa Holdings (Tanzania) Ltd Bw. Prashant Shukla akielezea jinsi watakavyoweza kushirikiana na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuwawezesha vijana kuleta maendeleo katika jamii, kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Pro. Elisante Ole Gabriel na katikati ni Mkuu wa kitengo cha kozi fupi na ushauri chuo cha Mzumbe Pro. Shiv K. Tripathi. Mkuu wa kitengo cha kozi fupi na ushauri chuo cha Mzumbe Pro. Shiv K. Tripathi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani