MKAPA AMPONGEZA RAIS KIKWETE, NSSF UJENZI DARAJA LA KIGAMBONI
RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa( katikati) akipokea maelezo kuhusu mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutoka kwa Meneja Miradi wa shirika hilo Muhandisi John Msemo (kulia kwake) alipotembelea ujenzi huo kwa mualiko maalum kutoka NSSF.
Muonekano wa Daraja kwa sasa.
RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka (wan ne kulia) pamoja viongozi na maofisa wa Shirika la NSSF wakiongozwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Rais Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la Kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi wa daraja la Kigamboni inayofadhiliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizopo Kijichi Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, ambapo ameagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
Akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya ujenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s72-c/2.jpg)
Raisi Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m1UEfSOm7_c/VDT-rfmd2kI/AAAAAAACsbM/W5x233zdww8/s1600/4.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dk. Ramadhan Dau (wa...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
11 years ago
Mwananchi13 May
NSSF yatangaza hasara ujenzi daraja la Kigamboni
10 years ago
MichuziCCM DAR WATEMBELEA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI LINALOJENGWA NA NSSF
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s72-c/856.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s1600/856.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gGwKIWXdlU/VDvZ-nhwAuI/AAAAAAAGpzk/WHWyD5u6bR8/s1600/869.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--pKecWbftlQ/VDvZ-IkmpgI/AAAAAAAGpzg/z25UdEtSua8/s1600/894.jpg)
9 years ago
TheCitizen12 Oct
Mkapa applauds JK, NSSF on Kigamboni Bridge
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mkapa: Daraja la Kigamboni ni chachu ya maendeleo