Rais Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la Kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi wa daraja la Kigamboni inayofadhiliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizopo Kijichi Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, ambapo ameagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
Akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya ujenzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s72-c/2.jpg)
Raisi Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-8x1OMDS3mKc/VDT-qB-pZOI/AAAAAAACsbI/mUZEE4EdF-8/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m1UEfSOm7_c/VDT-rfmd2kI/AAAAAAACsbM/W5x233zdww8/s1600/4.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dk. Ramadhan Dau (wa...
9 years ago
MichuziMKAPA AMPONGEZA RAIS KIKWETE, NSSF UJENZI DARAJA LA KIGAMBONI
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s72-c/856.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s1600/856.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gGwKIWXdlU/VDvZ-nhwAuI/AAAAAAAGpzk/WHWyD5u6bR8/s1600/869.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--pKecWbftlQ/VDvZ-IkmpgI/AAAAAAAGpzg/z25UdEtSua8/s1600/894.jpg)
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
Rais Kikwete azindua mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea leo
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwasili katika eneo la mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba (NHC) na kupokelewa na Ndg. David Shambwe Kaimu Mkurungenzi Mkuu NHC na Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara wakati alipokagua mradi huo uliopo katika wilaya ya Songea mkoani Ruvuma akiwa katika ziara yake ya kikazi leo, Rais Dr. Jakaya Kikwete anaendelea na ziara mkoani humo leo. (PICHA ZOTE KWA HISANI YA KITENGO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA JAMII CHA NHC).
Akiwasalimia...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
11 years ago
Mwananchi13 May
NSSF yatangaza hasara ujenzi daraja la Kigamboni
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s72-c/ns1.jpg)
JK ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI, MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NSSF KIJICHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s1600/ns1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IK-OR89wUzI/VDQG6cu-pyI/AAAAAAAGojg/dpQCJCgE9Zc/s1600/ns2.jpg)
10 years ago
MichuziCCM DAR WATEMBELEA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI LINALOJENGWA NA NSSF