JK ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI, MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NSSF KIJICHI
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakati alipotembelea ujenzi wa Daraja la Kigamboni,jijini Dar es Salaam leo.Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akipokea kadi maalum ya pongezi ya siku yake ya kuzaliwa leo Oktoba 07,2014 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dkt. Ramadhan Dau.Rais Kikwete anasherehekea siku yake ya kuzaliwa leo,akiwa ametimiza miaka 64 toka kuzaliwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Bibi Doreene Mkandara na Mwanae Adastus Aporinary ambao ni miongoni mwa wateja waliouziwa nyumba na Shirika la Nyumba la Taifa la NHC...
10 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ATEMBELEA UJENZI WA NYUMBA ZA NSSF KIGAMBONI
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Rais Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la Kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa ziara yake ya kutembelea mradi wa daraja la Kigamboni inayofadhiliwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), pamoja na kuweka jiwe la msingi katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizopo Kijichi Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam, jana, ambapo ameagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujamalizika.
Akizungumza wakati wa kupokea taarifa ya ujenzi...
10 years ago
MichuziRaisi Kikwete asifu juhudi za NSSF kuwezesha mradi wa daraja la kigamboni na ujenzi wa nyumza za gharama nafuu
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dk. Ramadhan Dau (wa...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI JIJINI DAR
11 years ago
MichuziJK atembelea banda la NSSF, avutiwa na mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Dege Eco Village, kigamboni
11 years ago
Mwananchi13 May
NSSF yatangaza hasara ujenzi daraja la Kigamboni
9 years ago
MichuziNSSF KUKABIDHI DARAJA LA KIGAMBONI JANUARI 2016