JK atembelea banda la NSSF, avutiwa na mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Dege Eco Village, kigamboni
Banda la NSSF linavyoonekana kwa nje.
Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk. Ramadhani Dau wakati alipotembelea banda la NSSF. Kutoka kushoto ni Abeid, Zhulkifir na Thamrat Dau.
Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Julius Nyamuhokya kuhusu mradi mkubwa wa ujenzi wa mji wa kisasa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Mar
Wajumbe Bodi ya Wakurugenzi NSSF Watembelea Ujenzi Mradi wa 'Dege ECO Village'
Ujenzi huo wa mji wa kisasa ambao utakuwa na nyumba za kuishi za kisasa za watu wa kipato cha kati unajumuisha ujenzi wa nyumba zaidi ya 7,000 zikiwa na huduma zote za kujamii eneo moja. Akizungumzia mradi huo mkubwa unaotekelezwa kati ya NSSF kwa...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Mradi wa Dege Eco village waanza
KAMPUNI ya Hifadhi Builders inayotekeleza mradi wa Dege Eco Village imesema mradi huo utakua wa mafanikio kwa kuwa tayari wameshaanza kuuza nyumba hizo. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye maonyesho...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bfslzEWpXb0/VCCPRqGIesI/AAAAAAAGlMI/C65bn88_bBQ/s72-c/IMG_9549.jpg)
MRADI WA NYUMBA WA DEGE ECO-VILLAGE WAANZA
Wakati Meneja Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege eco-Village akiongea alisema “Kwa sasa ujenzi unaendelea na karibu aina ya nyumba (apartment) 3000 zitakuwa tayari ifikapo Januari 2015. Aliongezea kusema kwamba kupitia mradi huu waTanzania watanufaika kwa kupata ajira na pia kuwa na huduma kama hospitali, shule na maduka...
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Wananchi wafurika katika banda la DEGE ECO Village, Mlimani City- Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-3-Rjmui4jy4/VI4ITgfl9II/AAAAAAABGmQ/IMEztGgEVs8/s1600/DSC_0489.jpg)
Muuzaji kutoka Hifadhi Builders Ltd akiongea na mteja kuhusu mradi wa Dege Eco Village jijini Dar es salaam hivi karibuni.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q6JUdPymbIY/VI4Ih1XZtnI/AAAAAAABGmY/kb7F5S4WWYE/s1600/DSC_0525.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yo4xfyevMVg/VI4IxtENzYI/AAAAAAABGmg/4dRL_kzCS74/s1600/DSC_0765.jpg)
Banda lililopo Mlimani City la Dege Eco Village jijini Dar es salaam.
Na Mwandishi Wetu.
Wananchi wa jiji la...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3-Rjmui4jy4/VI4ITgfl9II/AAAAAAABGmQ/IMEztGgEVs8/s72-c/DSC_0489.jpg)
WANANCHI WAFURIKA KATIKA BANDA LA DEGE ECO VILLAGE, MLIMANI CITY, DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Mradi wa nyumba wa DEGE ECO- Village waanza, wananchi wachangamkia fursa
Mradi wa nyumba unaosimamiwa na kampuni ya Hifadhi inayoitwa Dege Eco-Village umeshiriki maonyesho ya nyumba yaliyofanyika jijini Dar es Salaam inategemea umeanza hivi karibuni.
Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo Bw. Azhar Malik wa Dege eco-Village alisema “Kwa sasa ujenzi unaendelea na karibu aina ya nyumba apartment 3000 zitakuwa tayari ifikapo Januari 2015.
Aliongezea kusema kwamba kupitia mradi huu waTanzania watanufaika kwa kupata...
11 years ago
MichuziMaalim Seif atembelea eneo la Mji Mkongwe Zanzibar kuangalia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kisasa ya Grand Hyatt
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s72-c/ns1.jpg)
JK ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI, MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NSSF KIJICHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s1600/ns1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IK-OR89wUzI/VDQG6cu-pyI/AAAAAAAGojg/dpQCJCgE9Zc/s1600/ns2.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ATEMBELEA UJENZI WA NYUMBA ZA NSSF KIGAMBONI