TPSF yahamasisha wadau wa maendeleo kushiriki mkutano kuhusu mitaji ya ubia
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGcUvG8w7FQ/Uu4PxAFbfuI/AAAAAAAFKMM/aCrmPyuDrh4/s72-c/unnamed.jpg)
Changamoto imetolewa kwa wadau wa sekta binafsi na maendeleo Tanzania kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Alhamis wiki hii.
Mkutano huo wa siku moja unaotarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu unatarajia kuongelea jinsi sekta binafsi inavyoweza kufaidika na mitaji ya ubia.
Akiongea na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia
WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HTLvb9uLYZ4/UvdL2PG0EsI/AAAAAAAFL6M/9UtFY3txSjk/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Mitaji ya ubia chachu ya maendeleo–Dk. Nagu
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
DC Tunduru awataka wadau wa misitu kushiriki katika maendeleo vijijini
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Chande Nalicho.
Na Steven Augustino wa Demashonews,Tunduru
SERIKALI Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imewataka wafanyabiashara walioomba kuvuna mazao ya misitu Wilayani humu, kutoa ushirikiano katika uendelezaji wa elimu ikiwa ni pamoja na kutoa misaaa ya kutengeneza madawati na kuyasambaza katika shule zilizopo Wilayani humu.
Wito huo, umetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Tunduru, Mkuu wa Wilaya ya hiyo, Bw. Chande Nalicho,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I9jwwwcxj9Q/VgKESfnFyBI/AAAAAAAAuZo/NL9iGxXIgds/s72-c/IMG_9171.jpg)
VIONGOZI WA NCHI WATAKIWA KUSHIRIKI, KURIDHIA MABAKUBALIANO YA MKUTANO WA MAENDELEO YA ENDELEVUNCHINI MAREKANI
Akizungumza na waandishi habari leo jijini Dar es Salaam, Mratibu wa Mtandao wa Mabadilliko ya Tabia nchi (CAN), Sixberty Mwanga ,amesema kuwa mkutano huo ni muhimu katika kuweza kutekeleza eneo la mabadiliko ya tabia nchi kutokana na kadri ya siku zinavyoongezeka hali ya ukame inazidi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p7IW5tuthFk/VS0r_buka9I/AAAAAAAHRIY/jGBdqe8X9zU/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA TATU WA MAENDELEO ENDELEVU YA MIJI NA MAKAZI DUNIANI NCHINI KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p7IW5tuthFk/VS0r_buka9I/AAAAAAAHRIY/jGBdqe8X9zU/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
MichuziWizara ya Maendeleo ya Jamii yaendesha mkutano na wadau kutoka Taasisi za Serikali na Binafsi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X35SFyNUJBI/U-plJR8YkpI/AAAAAAAF_Do/vXdTlvCFHpY/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
mkutano wa wadau wa maendeleo kutoka maeneo kame wafanyika leo mjini Singida
![](http://4.bp.blogspot.com/-X35SFyNUJBI/U-plJR8YkpI/AAAAAAAF_Do/vXdTlvCFHpY/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10