Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Tunduru awataka wadau wa misitu kushiriki katika maendeleo vijijini

DSCN4170

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Chande Nalicho.

Na Steven Augustino wa Demashonews,Tunduru

SERIKALI Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imewataka wafanyabiashara walioomba kuvuna mazao ya misitu Wilayani humu, kutoa ushirikiano katika uendelezaji wa elimu ikiwa ni pamoja na kutoa misaaa ya kutengeneza madawati  na kuyasambaza katika shule zilizopo Wilayani humu.

Wito huo, umetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Tunduru, Mkuu wa Wilaya ya hiyo, Bw. Chande Nalicho,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana awataka Wana CCM kushiriki miradi ya maendeleo

WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wametakiwa kuacha tabia ya kuwa watazamaji kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa mjini Mlandizi, Kibaha wakati...

 

5 years ago

Michuzi

Wadau wa maendeleo Njombe wafika vijijini kutoa elimu dhidi ya Covid-19

Na Amiri kilagalila, NjombeKUTOKANA  na elimu ya namna ya kujikinga na ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayotokana na virusi vya Corona (COVID-19) kutowafikia vyema wananchi waishio maeneo ya vijijini wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani Njombe wameanza zoezi la kwenda kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga na ugonjwa huo.
Miongoni mwa wadau hao ni Johson Mgimba na Lawi Mnyanga ambao wamefika katika kata ya Madilu wilayani Ludewa mkoani Njombe na kutoa elimu kwa wananchi mbalimbali kupitia...

 

11 years ago

Michuzi

TPSF yahamasisha wadau wa maendeleo kushiriki mkutano kuhusu mitaji ya ubia

Changamoto imetolewa kwa wadau wa sekta binafsi na maendeleo Tanzania kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Alhamis wiki hii.
Mkutano huo wa siku moja unaotarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu unatarajia kuongelea jinsi sekta binafsi inavyoweza kufaidika na mitaji ya ubia.  
Akiongea na...

 

10 years ago

Mwananchi

Uteketezaji misitu unatishia uchumi wa wananchi Tunduru

Utajiri wa misitu wilayani ya Tunduru uko hatarini kutoweka kutokana na uvunaji holela na shughuli za binadamu.

 

11 years ago

Michuzi

VIJANA WAASWA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO

 Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bw. James Kajugusi akisisitiza jambo wakati akiwahamasisha vijana wa Mchinga kujiunga katika vikundi vya uzalishaji mali ili kuunda SACCOS ya vijana. Kulia ni Afisa Tarafa ya Mchinga, Bi.Hadija Mringwa. (Picha zote na Concilia Niyibitanga,Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo)Afisa Kata wa Kata ya Mchinga, Bi. Sharifa Mkwango, akisisitiza jambo kuhusu...

 

10 years ago

Michuzi

Kinana aunguruma wilayani Nanyumbu mkoani mtwara, akagua miradi ya maendeleo na kushiriki katika kazi

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupasua mawe wakati wa ujenzi wa mradi wa maji Sengenya Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

5 years ago

Michuzi

KAMISHNA WA TUME ZA HAKI AWATAKA WANAWAKE KUJITATHIMINI MAENDELEO WALIYOYAFANYA KATIKA JAMII

 Kamishna wa Tume za Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Fatma Rashid Khalfan akizungumza na wandishi wa habari katika maadhimisho ya siku ya wanawake mkoani Dodoma leo. Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Felista Bura akizungumza na wananchi mbalimbali waliojitokeza kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kimkoa wa Dodoma yamefanyika jijini Dodoma. Watumishi wanawake kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji wakiwa kwenye maandamano ya siku ya wanawake duniani jijini Dodoma...

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Dewji Blog

Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika

DSC_4554

Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani