DC Tunduru awataka wadau wa misitu kushiriki katika maendeleo vijijini
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Chande Nalicho.
Na Steven Augustino wa Demashonews,Tunduru
SERIKALI Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imewataka wafanyabiashara walioomba kuvuna mazao ya misitu Wilayani humu, kutoa ushirikiano katika uendelezaji wa elimu ikiwa ni pamoja na kutoa misaaa ya kutengeneza madawati na kuyasambaza katika shule zilizopo Wilayani humu.
Wito huo, umetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Tunduru, Mkuu wa Wilaya ya hiyo, Bw. Chande Nalicho,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Kinana awataka Wana CCM kushiriki miradi ya maendeleo
WAFUASI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani wametakiwa kuacha tabia ya kuwa watazamaji kwenye miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. Wito huo ulitolewa mjini Mlandizi, Kibaha wakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s72-c/C.png)
Wadau wa maendeleo Njombe wafika vijijini kutoa elimu dhidi ya Covid-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-qakQIk11S7M/XqbgCChzLbI/AAAAAAALoWE/-XSLxyz9LusmU0h6u-ObFkZRJE6U5UnPwCLcBGAsYHQ/s640/C.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0b_req1wjJo/XqbgCiLYy6I/AAAAAAALoWM/4M4T-y1pHkYXpDhkJsaMLeHyTnjUI2PewCLcBGAsYHQ/s640/A.png)
Miongoni mwa wadau hao ni Johson Mgimba na Lawi Mnyanga ambao wamefika katika kata ya Madilu wilayani Ludewa mkoani Njombe na kutoa elimu kwa wananchi mbalimbali kupitia...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AGcUvG8w7FQ/Uu4PxAFbfuI/AAAAAAAFKMM/aCrmPyuDrh4/s72-c/unnamed.jpg)
TPSF yahamasisha wadau wa maendeleo kushiriki mkutano kuhusu mitaji ya ubia
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGcUvG8w7FQ/Uu4PxAFbfuI/AAAAAAAFKMM/aCrmPyuDrh4/s1600/unnamed.jpg)
Mkutano huo wa siku moja unaotarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu unatarajia kuongelea jinsi sekta binafsi inavyoweza kufaidika na mitaji ya ubia.
Akiongea na...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Uteketezaji misitu unatishia uchumi wa wananchi Tunduru
11 years ago
MichuziVIJANA WAASWA KUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi26 Nov
Kinana aunguruma wilayani Nanyumbu mkoani mtwara, akagua miradi ya maendeleo na kushiriki katika kazi
![](https://3.bp.blogspot.com/-cUPP_f1UqF8/VHTYYMZzyiI/AAAAAAAAT24/HmYmGAWr8wM/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-18fcIkhbv7c/VHTYpv88f6I/AAAAAAAAT5E/xyLjUuiTfxg/s1600/3.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-HjHxkHe3aoM/VHTYuzD8aAI/AAAAAAAAT5o/Aj1b_FAZIrU/s1600/4.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-xOT28tU3BQo/VHTYv3icWQI/AAAAAAAAT50/y3KpwcVMv44/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LJs8iZx6DXE/XmU2NN3hG4I/AAAAAAALiA0/rhVzET75BxQHeQddpJDwmnzPLbyzNmWLACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.57.16%2BPM.jpeg)
KAMISHNA WA TUME ZA HAKI AWATAKA WANAWAKE KUJITATHIMINI MAENDELEO WALIYOYAFANYA KATIKA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-LJs8iZx6DXE/XmU2NN3hG4I/AAAAAAALiA0/rhVzET75BxQHeQddpJDwmnzPLbyzNmWLACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.57.16%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jw87WbpMqMg/XmU2LKSHV8I/AAAAAAALiAw/gR8z-CSb4TczWf8RA503sDYucKNBfkPMwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.59.10%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pXmWSF7aFjM/XmU2NEJzkbI/AAAAAAALiA4/3OIr5-Hv8ukkCYopz5Otap8NSaAQDrvEQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B5.59.29%2BPM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
VIDEO: Mhe.Saada Mkuya awataka wananchi kushirikiana na serikali katika kuchangia maendeleo ya nchi kupitia ulipaji wa kodi
Waziri wa Fedha Mhe.Saada Mkuya akizungumza leo Bungeni mjini Dodoma.
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Wataalamu na Wadau wa Mazingira waendelea kujadili mada katika mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu Afrika
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe wakifuatilia mada leo Oktoba 29, siku ya pili ya mkutano huo. Tayari mada mbalimbali za kitaalamu juu ya mabadiliko ya tabianchi na mambo ya kimikakati ya kukabiliana na mazingira, hali ya hewa na mengine yanaendelea kujadiliwa muda huu. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[VICTORIA FALLS-ZIMBABWE]...