Uteketezaji misitu unatishia uchumi wa wananchi Tunduru
Utajiri wa misitu wilayani ya Tunduru uko hatarini kutoweka kutokana na uvunaji holela na shughuli za binadamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
DC Tunduru awataka wadau wa misitu kushiriki katika maendeleo vijijini
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Chande Nalicho.
Na Steven Augustino wa Demashonews,Tunduru
SERIKALI Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imewataka wafanyabiashara walioomba kuvuna mazao ya misitu Wilayani humu, kutoa ushirikiano katika uendelezaji wa elimu ikiwa ni pamoja na kutoa misaaa ya kutengeneza madawati na kuyasambaza katika shule zilizopo Wilayani humu.
Wito huo, umetolewa na Mwenyekiti wa kamati ya uvunaji wa mazao ya misitu wilayani Tunduru, Mkuu wa Wilaya ya hiyo, Bw. Chande Nalicho,...
10 years ago
Habarileo16 Sep
'Ushuru mazao ya misitu unaumiza wananchi'
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi wananchi wa wilaya za Rufiji na Mkuranga, kuwa ataishauri Serikali ili iangalie uwezekano wa kupunguza ushuru unaotokana na misitu.
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s72-c/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s640/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_m9qjEUfB0/XrEDiooPDUI/AAAAAAALpJA/Ufkc1Pnu208VHE9s3dQPSytZdO724r8XgCLcBGAsYHQ/s640/6ef4f28c-b6fd-4522-ad3f-11392cd6e632.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XEs1bWkQL4g/XrEDij6nPcI/AAAAAAALpJE/GOrQ6fEVAAUJUvhq-FHGpdHYv_1eJG89wCLcBGAsYHQ/s640/8cf1c48a-e21b-4ee2-bd99-289d72365fe9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KSzX2j5ZdwM/XrEDhoZpu8I/AAAAAAALpI4/dZhCZ9W8D60XXd2-YBKN3QnfTzx12KuGACLcBGAsYHQ/s640/60d6d58c-80c7-4eb1-b962-968744d22442.jpg)
11 years ago
Michuzi26 May
WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) YANYA ZIARA NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI KUJIONEA UTUNZAJI WA MISITU YA CHOME, SHENGENA-KILIMANJARO
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Mbunge ahoji uteketezaji mbolea feki
MBUNGE wa Kiembe Samaki, Waride Bakari Jabu (CCM) ameihoji serikali ina utaratibu gani wa kuteketeza mbolea feki ambazo zimekuwa zikiingizwa nchini. Waride alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akiuliza swali...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Sumaye: Usawa wa mapato unatishia dunia
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema kukosekana kwa usawa wa mapato kunatishia hali ya usalama duniani ikizingatiwa kwamba zipo nchi zinafanya vizuri kiuchumi na nyingine zimezorota. Sumaye alisema hayo mwishoni...
9 years ago
Habarileo21 Nov
Kipaumbele ni ukuaji uchumi wa wananchi
RAIS wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli amefungua Bunge la 11 na kuwataka watendaji kote nchini kuhakikisha wanashiriki katika vita ya kuondoa umasikini, ili ukuaji wa uchumi wa nchi uendane na ukuaji wa uchumi wa watu na kusisitiza kuongeza ajira kupitia viwanda.
9 years ago
MichuziNEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO