Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ahoji uteketezaji mbolea feki

MBUNGE wa Kiembe Samaki, Waride Bakari Jabu (CCM) ameihoji serikali ina utaratibu gani wa kuteketeza mbolea feki ambazo zimekuwa zikiingizwa nchini. Waride alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akiuliza swali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mbunge ahoji udhibiti wa dawa feki

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za kisheria kwa wafanyabiashara na kampuni ambazo zimekuwa zikiingiza dawa bandia za binadamu. Alitoa kauli hiyo bungeni leo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kaskazini Murtaza Mangungu (CCM).

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM).
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.

Alisema hayo wakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji polisi kubanwa kujiendeleza

MBUNGE wa Viti Maalumu, Conchesta Rwamlaza (CHADEMA) ametaka kujua sababu za Jeshi la Polisi na Magereza kuwanyima askari wake kujiendeleza kwa ngazi ya elimu ya juu. Akiuliza swali bungeni jana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji hatma zao la mkonge

MBUNGE wa Korogwe Mjini, Yusufu Nassir (CCM), ameitaka serikali ieleze ni hatua gani zimechukuliwa juu ya kauli iliyotolewa kuhusu hatma ya zao la mkonge na wafanyakazi wa mashamba kuhusu mafao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji rushwa za TRA bandarini

MBUNGE wa Viti Maalumu Dk. Pudenciana Kikwembe (CCM), jana aliihoji serikali akitaka kujua namna ilivyopunguza rushwa kupitia Mamlaka ya Mapato (TRA) upande wa bandari tangu kuanzishwa kwa mfumo mpya wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji utekelezaji ahadi kwenye kampeni

MBUNGE wa Viti Maalumu, Pauline Gekul (CHADEMA), ameihoji serikali kama ni halali kwa mgombea kutekeleza ahadi alizozitoa siku za nyuma wakati kampeni zikiendelea katika uchaguzi mdogo. Akiuliza swali bungeni jana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji fidia kwa wakazi wa Malolo

MBUNGE wa Mikumi, Abdulsalaam Ameir (CCM). ameitaka serikali kueleza lini itawalipa fidia wananchi wa Kata ya Malolo walioathiriwa mazao yao kutokana na upanuzi wa bomba la mafuta la Kampuni ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge ahoji mawasiliano baina ya Bunge la E.A na la Muungano

 Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita, hakukuwa na utaratibu wa kuwasiliana kati ya wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki na wale wa Jamhuri ya Muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji serikali kushindwa kukabili mazalia ya mbu

MBUNGE wa Viti Maalum, Mkiwa Kimwanga (CUF) ameihoji Serikali kwa kushindwa kupuliza dawa ya  kuua mbu na mazalia yake katika mikoa yote Tanzania. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Mbunge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani